Uchaguzi 2020 Bukoba Mjini msifanye makosa tena tarehe 28/10

Uchaguzi 2020 Bukoba Mjini msifanye makosa tena tarehe 28/10

Tabora imebustiwa sana hasa kipindi cha awamu ya tano. Miundombinu mingi imeimarishwa. Ukifika Tabora Mjini lami ni kila kona. Kama sio kuichagua CCM wangekuwa nyuma mara tano ya walivyo sasa.

Mkoa wote wa Tabora haujawahi kuwa na upinzani lakini ndo mkoa masikini
 
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi.

Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo.

Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni!

Nawakumbusha kuwa hasira hasara. Wenzenu wa Kilimanjaro wameshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa wao kutorudia makosa.

Nawatakia uchaguzi mwema.
Kuna boss zaidi ya wananchi?
 
BOSI HANUNIWI. Oct 28, sote kwa umoja wetu twendeni tukapige kura za kijani tupu.
 
Nimekurudisha awali
Wakati stand na soko vinashindwa jengwa had hela zinarudi.
Awamu inayoisha
Maandalizi yalishaaza kwenye eneo la stand mpya
Mbunge wa bukoba anayemaliza muda wake ni wa Chadema
Ukiwa Chadema unaambiwa upinge kila kitu
 
Yaan Bora wachague CCM awamu hii .

Mji Ile umetelekezwa mno.
Stendi hakuna, barabara chafu soko la mabati yaan ni full shida
 
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi.

Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo.

Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni!

Nawakumbusha kuwa hasira hasara. Wenzenu wa Kilimanjaro wameshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa wao kutorudia makosa.

Nawatakia uchaguzi mwema.
Miaka yote bukoba mjini pabayaaaaa, sio kwasababu ya upinzani, kagasheki aliifanyia nini bukoba mjini?
 
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi.

Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo.

Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni!

Nawakumbusha kuwa hasira hasara. Wenzenu wa Kilimanjaro wameshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa wao kutorudia makosa.

Nawatakia uchaguzi mwema.
Brother. Kwa maana hiyo ambao hawakuchagua ccm hawakupata maendeleo?
For the record tu.. kilimanjaro imeendelea kuliko unavyodhani. Na muda mrefu wamekuwa upinzani.

Na jamii ya kilimanjaro si jamii ya kusubiria wafanyiwe.. usipowaletea.. wanajiletea wenyewe. Ni moja ya mikoa iliyoendelea.

Sasa nyoo sehem zingine ambayo kimsingi imekaa na ccm kwa muda mrefu? Angalia wamefikia wapi kimaendeleo? Angalia kama dodoma.. kongwa.. kumechoka balaaa.. na wamekuwa chini ya ccm miaka yote.
Utawafananisha na moshi?
 
Cha msingi endana na hali halisi iliyopo. Nyumbulika.
Mkipiga kura kishabiki maendeleo mtayasikia kwa redio
Ndio maana kilimanjaro wamekuwa wakijiletea wenyewe. Haya masuala ya kulamba viatu kama kwamba ili upate maendeleo wkt ni haki yako ni upumbavu.
Ni asili ya watu flani wa mashariki.. ambao si utamaduni mzuri.
Huo utakuwa si uongozi tena
 
Back
Top Bottom