Acha upuuz aliona maono na ajali imetokea kweli ya ndege hate hvyo aliomba kwa mungu hayo yasitokee kbsaaAlisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu!
Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Mkuu hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI.Acha upuuz aliona maono na ajali imetokea kweli ya ndege hate hvyo aliomba kwa mungu hayo yasitokee kbsaa
Really?BREAKING NEWS
Inasemekana yote hayo yaliyotekea yalikua ni mazoezi ya kawaida ya utayari kwa kiwanja cha ndege bukoba. Ambayo yapo kwa mujibu wa miongozo ya uendeshaji wa kitaifa na kimataifa...
🤣Really?
Dah kumbe.Mkuu hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI.
Pimbi, hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZIAcha upuuz aliona maono na ajali imetokea kweli ya ndege hate hvyo aliomba kwa mungu hayo yasitokee kbsaa
Sasa yeye aliona niniMtu akiona mawingu yametanda kisha akisema mvua itanyesha na baadaye mvua ikanyesha kweli ! Huo sio uchawi. !
Sasa mbona wametumia jina la ndege ya watu. Ujinga huu haupendezi.Pimbi, hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI
Hmn bhna kwa hyo hyo ndege ya precious air ndio waitoe kafara kufanya zoezi Hilo wkt Ni kampuni binafsi ,kwann isiwe atclMkuu hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI.
😂Kuna mtu alitoa ushauri zinunulike drone serikali ilipinga, helicopter pia ndio zinatumika kubeba wanasiasa, sasa kupanda mlima kwa mguu kitu kinachochukua days ,niliona pia wanazima moto kwa kutumia fimbo😂Jeshi la tz liko kisiasa ,mfano Moto mlima Kilimanjaro ,Ilibidi itumike teknolojia ya drones kuuzima lakn cha kushangaza ata Helikopta hakuna ,watu wanapanda mlima kwa miguu kuelekea eneo la tukio
Ni ya tatu hii hapo bukoba...kuna auric pia ilishawahi kuanguka hapo miaka ya 2015...Ni kweli.
Hali ya hewa ilikuwa ni ya mvua nyingi. Na inaonekana landing alianzia upande wa Zamzam ambako kuna obstacles.
All in all, tunaanza kulikumbuka wazo la Magu la kurefusha uwanja upande wa ziwani. Hii sijui iliishia wapi! Sasa tunaanza kuona madhara ya kupuuza wazo hilo.
Mimi katika uhai wangu, hii ni ndege ya pili kupata ajali ya aina hiyo kwenye hiyo site. Ya kwanza ilikuwa ndege ya jesh(siyo ya kivita) wakati wa vita na Iddi Amin. Ndege hiyo ilikuwa aina ya Buffalo.
obwa abajulizi nomurilo gwa kabaka.Yooooo kaziroooo bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya!
Hkn kitu kama hcho Wala haijawai tokea kwann itumike ndege binfsi mkwann isiwe atcl kafanya mazoezi hayo kwann iwe kampuni binafsiPimbi, hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI
Leo wako busy na harusi ya Wolpa na uzinduzi wa EP ya Ommy..watnzania tunapenda ujinga ujinga kama huoInsta wanashindana kuonesha mashape na mafanikio yao mchana kutwa
Utabiri sio lazima utokee 100%...lakin tukubali jamaa ana maono aiseeAlisema ina logo nyekundu na itakatika katikati. Utabiri wake sio wa ndege hii maana haina logo nyekundu na haijakatika katikati