"Omusoke omusoke twaholela! Storm ooh storm we are all going to die!"Yooooo kaziroooo bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Omusoke omusoke twaholela! Storm ooh storm we are all going to die!"Yooooo kaziroooo bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya bwakya!
Nimemsikia RPC akisema ndege ilikuwa na abiria around 40+ mpaka sasa wameokelewa around 26+
NimekupataMkuu upo nje ya ubongo vibaya mno. Nenda kaulize vizuri kama hizi ndege za precision air kuna mkono wa anko.
Hao MAJASUSI WA KIJESHI na mitumbwi yao watafua dafu kweli?
Kwa bongo inavyokuwa vifo vitatokea kwa uzembe hilo tulitarajie. Ndege imepata ajari wanaiona hapo ila kuna mitumbwi ya kuokoa na pale napajua pembeni upande wa kulia tumeogelea sana utotoni pako karibu na dock ila hata vifaa vya kuokolea hamna. Mamlaka wanahangaika kwa ndege ya watu 40 hata ukiogelea unaifikia sasa imagine iwe ni meli yenye mamia inazama ziwani mbali kilomita ngapi ukoNimemsikia RPC akisema ndege ilikuwa na abiria around 40+ mpaka sasa wameokelewa around 26+
Huenda alitonywa kwamba vitu havipo sawa kama maintenance na mambo kama hayo ! Nasema labda. !!Sasa yeye aliona nini
Nenda kasaidie, acha kujibanza mtandaoni huku unasukumiza watu.vuteni hiyo ndege na kamba yenye nanga ifike ufukweni, acheni uvivu watu mliopo hapo
acheni kuhangaika na picha,
we msukuma hujambo'?? Umepotea jukwaaniNjema kabisa
Sijaona ajali ya ndegr yenye logo nyekundi ambayo imekatika katikati.katabiri ajali ya ndege wewe hujaona ajali ya ndege bado??
Maeneo ya iringaKaka nipe ujuvi wa abiria wa kujua eneo halisi kama Kitonga nikiwa zaidi ya kilometa 5 juu.
Mkuu hahaha!"Omusoke omusoke twaholela! Steam ooh steam, we are all going to die!"
Ndugu hata hizo za mashirika ya kimataifa, likitokea la kutokea imo. Nakumbuka 2015, Turkish Airline, rubani alitua vibaya sana si kwa kishindo kile ardhini. Hiyo siku nilijamba sana kwa hofu, tumbo lilijaa gesi vibaya mnoAanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Heee hatari sana😂Niliacha kupanda Precision siku walipotangaza kuwa ndege itatua kujaza mafuta mkoa wa Tabora
Nikajiuliza imekuwa daladala?
Ndio mwisho kupanda ndege zao
Basi utabiri itakuwa rahisi sana ndio maana manabii fake wanaweza.Ukielewa maana ya utabiri utaacha kuhoji. Hakuna mtabiri anayetaja details 100%, hiyo sio forensic investigation. Tena utabiri unaweza enda chaka kidogo, ukataja baba fulani atapanda cheo na isitokee kwake ikatokea kwa mkewe. Kwenye utabiri kuna nguvu mtabiri hazijui au hawezi kuzitafsiri, hiyo ya cheo unakuta bread maker ni mama au unakuta ndio alijilipia dowry au ndie ana kauli nyumbani