GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wavuvi washukuriwe kwani Mwenzetu umeshapata Taarifa za uhakika na Kuona Watu waliookolewa? Kwa jinsi ilivyozama utaokoaje Watu? Labda mniambie Ndege ivutwe hadi Maji ( Kina ) kifupi kidogo nitawaelewa ila kama ilivyo sasa nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa kuna Mhaya ( Kiumbe ) Kaokolewa humo.Ziwa Victoria haina Marine Rescue Coordination Centre (MRCC) iliyo active. Maana ndege na meli zinashare distress signal. Endapo meli au ndege ikipata ajali, meli au ndege yoyote inabidi ikaongeze nguvu kuokoa.
Wavuvi washukuriwe sana, hapo zimekosekana meli kubwa kwenda kutoa msaada
Wewe ndiye wa kuhurumiwa.Mbona wote hamjagundua kuwa hili ni jaribio la kuona utayari wa vyombo vya uokoaji. Kumbuka Mwaka jana kipindi kama hiki lilitokea pia eneo hili hili. Akiri mu kichwa
Wahaya watatuambia kwanini Ndege hiyo imeangukia Bukoba na wala siyo Musoma ambako na kwenyewe Ziwa lipo vile vile. Watanikoma leo.....!!!!!!MV Bukoba imezama wanaiona...
Mabaharia wa kienyeji akina MrangiVitengo vya uokoaji ni duni sana
naww kumbe umeona😂Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Hawa wanaleta siasa but believe me hali si kama watu wa ....wanavyo push agenda zao humu,kukaa tu 20 minutes hapo unaponaje,hizi siri siri sijui faida ni ipi ,africans puuuh!Wavuvi washukuriwe kwani Mwenzetu umeshapata Taarifa za uhakika na Kuona Watu waliookolewa? Kwa jinsi ilivyozama utaokoaje Watu? Labda mniambie Ndege ivutwe hadi Maji ( Kina ) kifupi kidogo nitawaelewa ila kama ilivyo sasa nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa kuna Mhaya ( Kiumbe ) Kaokolewa humo.
Wahaya wana matatizo sana. Wawajibishwe.Dah, ni bora hingeangukia uko Mwanza maana hisingekuwa na abiria....hila wahaya jamani tuanze kupanda private jet sasa...Maana ii ni hatari himekuwa. Usafiri wa umma mbaya.
Kwanza kabisa ndege hiyo ilishazima tangu ilipozama kwenye ziwa sasa oxygen wanaipata kutokea wapi hata kama maji hayakaingia ndani ya cabin?Wavuvi washukuriwe kwani Mwenzetu umeshapata Taarifa za uhakika na Kuona Watu waliookolewa? Kwa jinsi ilivyozama utaokoaje Watu? Labda mniambie Ndege ivutwe hadi Maji ( Kina ) kifupi kidogo nitawaelewa ila kama ilivyo sasa nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa kuna Mhaya ( Kiumbe ) Kaokolewa humo.
Ila na nyie vipi,umesahau alivyosema wkt ule kuna watu walisali kwa jina la Yesu kukemea.Yamkini imesaidia kuokoa madhara.Kornerio alipotabiriwa kuwa baada ya muda fulani atakufa, alipofanya maombi aliongezewa siku lkn bado suala la kufa halikuondolewa.Yamkini ajali ilikusudiwa lkn maombi ya watu yamesaidia kupunguza ukali wa baya lililokuwa liambatane.Haya mambo usiyatazane kwa jicho moja tuMaono ya logo nyekundu na kukatika ikiwa angani, mbona details hata moja haifananii na hii. Ukiondoa neno ndege hapo mengine hakuna kitu walau hata angesema itaanguka kwenye maji. Jamaa labda hakutabiri ajali hii otherwisr hakuna utabiri hapo.
Nina maono kuna ajali itatokea tanzania kwenye barabara ambapo ni ajali ya gari yenye matairi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] precision imekuwa kipanya buguruni via Mandela roadNiliacha kupanda Precision siku walipotangaza kuwa ndege itatua kujaza mafuta mkoa wa Tabora
Nikajiuliza imekuwa daladala?
Ndio mwisho kupanda ndege zao
Aisee mlolongo kweli kweliAlisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu!
Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Usiwe na wasiwasi baby.
Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?Kwanza kabisa ndege hiyo ilishazima tangu ilipozama kwenye ziwa sasa oxygen wanaipata kutokea wapi hata kama maji hayakaingia ndani ya cabin?
Kwa hiyo maombi ya watu yakaibadili logo kutoka kuwa nyekundu ikawa nyeupe au sioIla na nyie vipi,umesahau alivyosemq kuna watu walisali kwa jina la Yesu kukemea.Yamkini imesaidia kuokoa madhara.Kornerio alipotabiriwa kuwa baada ya muda fulani atakufa, alipofanya maombi aliongezewa siku lkn bado suala la kufa halikuondolewa.Yamkini ajali ilikusudiwa lkn maombi ya watu yamesaidia kupunguza ukali wa baya lililokuwa liambatane.Haya mambo usiyatazane kwa jicho moja tu
Hakuna zoezi la utayari linalotumia ndege zinazofanya kazi na za kampuni binafsi. NeverTuombe iwe hivyo !! Lakini zoezi la utayari bila vifaa vya kutosha si ni kuwaogopesha wanaosafiri kwa Ndege ! Au ??
Sawa umepatia, unafikiri mashirika ya ndege USA na ulaya Kwa ujumla ndege zao zikifika eneo kama hilo abiria wana experience hali tofauti na kuwa comfortable!?, Hata ndege ziwe mpya vipi turbulence haiepukiki na mabadiliko ya hali ya hewa na maeneo yote yenye milima huwa yanazingua ndege, mpaka Sasa hakuna ushahidi wa ajali za ndege kuonekana nyingi Africa kwasababu yeyote, uwiano upo sawa mabara yote. Sema post yako Ili base kukandia ndege za bomberdier alizoagiza JPM na Kwa kukukosoa zote zilitoka Canada zikiwa mpya kabisa. Chuki na kudharau vya nyumbani vinatufanya tuongee tusiyoyajua, sikulaumu.Maeneo ya iringa
Iringa ni mwinuko mkali, ndio hizo kitonga
Coz ilikua my first time, kuna mtu akaniambia hii ni iringa ndio maana hali hii ya kutikisika /kuyumba
Na kwenye milima kani ya uvutano inakua kubwa
Kama physics ipo kichwani
Siku-locate position kwa kuangalia dirishani