Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Ila amechemka kusema watu watakufa wengi na ndege kukatika vipande
 
Kwahiyo Rubani Mzoefu Kazamisha Ndege au? Halafu naomba kujua inawezekana vipi Ndege kama hiyo ikwa imeanguka na Kuzimika kabisa hata kwa Mitambo yake halafu Marubani wake bado wawe na access ya Mawasiliano na Mkuu wa Mkoa Samjo Samjo ( Msanii ) kama Albert Chalamila na Wengineo?
 
BBC wameonyesha live ila huku ni kwaya tu as if ni kama kasiri fulani hivi yani hii nchi siasa mpaka kwenye uhai wa watu,poor country with evil political instability
Huo uokoaji wenyewe ni kuvuta ndege na manila.
Wakati kuna helkopta za kuzungukia majina ya mitaa na kuonyesha sensa. Yaani hii nchi imekuwa ya siasa kuliko kudeal na maisha ya watu. Tumuombe sana Mungu awafumbue viongozi wetu macho.
 
Hata kwenye Biblia wapo wanaitwa waonaji...
 
Kweli ni hatari, Ila tatizo umbali...
Ukitoka Dar kwenda Mza au huko Bk na basi ni kama unaenda nchi nyingine. Unadamka asubuhi unafika huko usiku wa manane! Basi ikikorofisha njiani inakuwa kero zaidi. So, watu hulazimika, hakuna namna!
 
Ingekua haijaingia maji Ingekua inaelea juu ya maji na sio kuzama kama inavoonekana
 
Kukaa under water Kwa dk 15 tuu , inatosha kuwaondoa wote , kimsingi sidhani kama kuna majeruhi , labda wakianza kushuhudia
kuna picha nimeona twitter kwenye comment wamelazwa chini kwenye post ya prezda na kama ni genius jibu tiyari unalo.

Hao majeruhi nadhani watakuwa ni invisible.maana sound nyingi uhalisia zero.
 
hatari
 
Hata kwenye Biblia wapo wanaitwa waonaji...
Sasa mbona juna watu wanakemea eti shindwa katika jina la yesu. Yaani watu na mapokeo yao bana mpaka nacheka. Napenda afrika tuwe Kama tulivyokuwa fresh na mind zetu before Arabs and Europeans invasion Kuja kutuchafua akili zetu.
 
Katika mazingira ya ajali kama hiyo, Mungu huwajalia watu ujasiri na uthubutu wa hali ya juu!! Amini usiamini milango ya dharula ilifunguliwa na kwa taarifa zilizopo takriban watu 26 wameshaokolewa na kupelekwa hospitali ya mkoa-Bukoba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…