Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilishindikana kupasua tundu hapo juu sehemu ambayo haiwezi kuingiza maji?
yaani mijitu mizima imekaa mitumbo inahemea juuujuuu, watu wa Bukoba jitafakarini.....mmeonyesha uzembe wa hali ya juuu
Maneno ya huyu ni kwamba walijiokoa wenyewe.Wale walijiokoa wenyewe!
Tuache siasa, walijiokoa na sio waliokolewaIdadi ya walio okolewa 26 waliofariki 19 45 . Ndege ilikuwa imebaba abiria wangapi?
Au walizidisha abiria ? Au kuna waokoaji wamefatiki?
Je precision air huwa hawatoi boarding pass kwa abiria wao?
Ata kungekua kuna sala ya nyerere at that ningeisali tuMaria akusaidieje sasa?
Hilo neno huwa linanishangaza sana yaani hata kama ni uzembe wa mtu fulani kwenye ajali yeyote ile utasikia watu wanahitimisha na hilo neno “mipango ya Mungu “ !! Ni neno la kukwepa kuwajibika na tatizo !! Hayo yanaitwa majibu mepesi. !Wee sie wabongo tunajibu letu pendwa kwenye mambo yote..."mipango ya mungu"
Tanzania ni nchi ngumu saaana.
Maji tayari yalikuwa yamewazidi. Ile ndege kuna uwezekano tokea imezama hadi twapata taarifa ilishapita hata dakika 15Wasingeweza kuishi masaa yote hayo bila Oxygen.
Aaah wapi, watawasiliana vp wakati comms ziko down?Sasa yule jamaa alosema walikuwa wanawasiliana na rubani, alikuwa rubani yupi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaza wameshindwa hata kutafuta malori kadhaa wakaifunga minyororo wakaivutia pwani hiyo asubuhi mpaka wavute na mitumbwi?ilishindikana kupasua tundu hapo juu sehemu ambayo haiwezi kuingiza maji?
yaani mijitu mizima imekaa mitumbo inahemea juuujuuu, watu wa Bukoba jitafakarini.....mmeonyesha uzembe wa hali ya juuu
Hilo neno huwa linanishangaza sana yaani hata kama ni uzembe wa mtu fulani kwenye ajali yeyote ile utasikia watu wanahitimisha na hilo neno “mipango ya Mungu “ !! Ni neno la kukwepa kuwajibika na tatizo !! Hayo yanaitwa majibu mepesi. !
Kuna waokoaji wamefia ndani ya ndege maana wengi walizama bila kuwa na vifaa vya kuzamiaIdadi ya walio okolewa 26 waliofariki 19 jumla ni 45 . Ndege ilikuwa imebaba abiria wangapi?
Au walizidisha abiria ? Au kuna waokoaji wamefatiki?
Je precision air huwa hawatoi boarding pass kwa abiria wao?
Sasa RC alisema kuwa walikuwa wanawasiliana na rubani. Pia na kuna watu wengine ndani walikuwa na mawasiliano nao. Very questionable statementAaah wapi, watawasiliana vp wakati comms ziko down?
Duh ! Hiyo ni kali 😅Sie ni wajinga tuu. Even comparing us to monkeys is actually an insult to monkeys 🤣🤣🤣🤣
Monkeys will never utter such stupidity!
Ujue wengi waliokufa ni waliokuwa mwanzoni mwa ndege. Wa huku mwishoni wamepona sababu ilikuwa rahisi kutokea huko kuna mlango. Wengine ile kufungua mkanda uje ufike mlangoni ushakufaSasa RC alisema kuwa walikuwa wanawasiliana na rubani. Pia na kuna watu wengine ndani walikuwa na mawasiliano nao. Very questionable statement