Bukoba: Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya LZ Nickel. 'Multipurpose Smelter' kujengwa Kahama

Bukoba: Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya LZ Nickel. 'Multipurpose Smelter' kujengwa Kahama

Ndiyo ile ile mikataba tuliozoea ya kwetu 3 ya kwao 93 au Kuna mabadiliko kidogo mbona haiwekwi open
 
Kama ilivyokuwa habari mbaya kwa wafuasi wa cdm kwa kusainiwa kwa mkataba wa gas enzi za JK. Mbona hatuoni wanaccm wakichangia kwa wingi kwenye hizi habari nzuri za ccm, au wanaccm wote ni wazee hivyo hawajui kutumia mitandao?
Mkuu sio CCM tu,hata vyama vingine hawajui matumizi ya madini yanafanya kazi gani.
Hata pale Vice president wa kampuni alivyowaeleza madhumuni ya madini hayo wapo wengi hawakuelewa impact yake.
Cobalt na Nikel ni madini muhimu kwa ulimwengu wa sasa Kutengeneza battery za kuendesha magari badala ya engine tulizo zizoea za piston,za kutumia mafuta.
Sio muda kampuni kubwa ya Tesla ya Marekani na hata VW ya Ujerumani watakuwa wabia wakubwa kutumia madini hayo kutengeneza magari ya nishati ya battery kutoka Tanzania.
Engine za piston za magari zimeanza kupotea katika viwanda vinavyounda magari mapya,kwa sababu ya uchafuzi wa mazingira.
Magufuli kama ameelewa hilo,Kabanga Nikel ndio itatuvusha kuingia kizazi kipya cha magari ya nishati ya battery.
Tena Madini ya Nikel hapo kabanga ni mengi mno.
 
.....".Mh. JPM rais wa Tanzania amekomesha kuhomolwa kwa madini Tanzania....." by Prof. P. Kabudi

kuhomola = (neno jipya la kiswahili Tanzania) lenye maana ya kukwapua kiujanja ujanja mali ya mtu huku mwenye mali akishangaa tu!
kuhomola ni tusi wengine wanasema kuhondomola, ukisema tumechoka kuhondomolwa maana yake tumechoka kunaniliwa....sio adi nitukane tushaelewa
 
Back
Top Bottom