Bulaya ampa za Uso Msigwa

Bulaya ampa za Uso Msigwa

Bulaya kaongea kwa utulivu Sana kuwa Msigwa Kahama kwa sababu ya hasira na alichokifanya ni utoto.
Kwamba madai ya Msigwa kuwa CHADEMA ni SACOSS ni ya kitoto na kipumbavu maana amepewa ubunge, alikua Mwenyekiti wa Kanda na posho kibao.

Amesema Hana tatizo na Msigwa Kahama ila ana shida na namna alivyohama. Ana akili, ameweka maneno ya akiba.


View: https://vm.tiktok.com/ZMrBuKK8T/

She said it all
 
Msigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.

Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.
Hakua yeye, alikua anapewa desa la kusoma. Njaa mbaya sana
 
Msigwa akikaa kwa utulivu, akaacha akili yake ifanye kazi! Atakuja kugundua kuwa, hakuwa na sababu ypyote ya yeye kuhama chama

Hapo ndo atajikuta akijiona bonge la mjinga
tayari saa hizi anajilaumu na mbaya zaidi chama kimakaa kimya na kumpuuzia
 
Msigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.

Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.
Shida ni kwamba Msigwa kaacha kutumia akili kuwaza badala yake kwa sasa anatumia tumbo kuwaza.
 
Bulaya kaongea kwa utulivu Sana kuwa Msigwa Kahama kwa sababu ya hasira na alichokifanya ni utoto.
Kwamba madai ya Msigwa kuwa CHADEMA ni SACOSS ni ya kitoto na kipumbavu maana amepewa ubunge, alikua Mwenyekiti wa Kanda na posho kibao.

Amesema Hana tatizo na Msigwa Kahama ila ana shida na namna alivyohama. Ana akili, ameweka maneno ya akiba.


View: https://vm.tiktok.com/ZMrBuKK8T/

Watu dizaini ya Bulaya ndio makada wa CCM ninaosema kila siku wanatumika kuchagiza kiinimacho kuwa Tanzania ina upinzani. Deep inside hakuna upinzani ila kivuli cha upinzani.
 
Back
Top Bottom