Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Bulaya kaongea kwa utulivu Sana kuwa Msigwa Kahama kwa sababu ya hasira na alichokifanya ni utoto.
Kwamba madai ya Msigwa kuwa CHADEMA ni SACOSS ni ya kitoto na kipumbavu maana amepewa ubunge, alikua Mwenyekiti wa Kanda na posho kibao.
Amesema Hana tatizo na Msigwa Kahama ila ana shida na namna alivyohama. Ana akili, ameweka maneno ya akiba.
View: https://vm.tiktok.com/ZMrBuKK8T/
Hakua yeye, alikua anapewa desa la kusoma. Njaa mbaya sanaMsigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.
Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.
Muda ni Hakimu asiye na upendeleo, tumemjuaNilikuwa siku zote nasema huyu mtu hakufaa kuwa chamamakini kama CDM.
Alikuwa na elements kama za Zito kabisa (kutokuaminika)
Ilibidi awe anainama kusoma makaratasi......Sio Msigwa tena yule tulokuwa naye SmartHakua yeye, alikua anapewa desa la kusoma. Njaa mbaya sana
tayari saa hizi anajilaumu na mbaya zaidi chama kimakaa kimya na kumpuuziaMsigwa akikaa kwa utulivu, akaacha akili yake ifanye kazi! Atakuja kugundua kuwa, hakuwa na sababu ypyote ya yeye kuhama chama
Hapo ndo atajikuta akijiona bonge la mjinga
inaumiza kimtindaIlibidi awe anainama kusoma makaratasi......Sio Msigwa tena yule tulokuwa naye Smart
Zinamsuta haswaMbona hana amani kabisa licha ya kudaka bilioni moja toka mbogamboga
COVID 19 wanasubiri utambulishoHawa Covid 19 warudishwe
Kuna watu ni vilema kwa kumpigania yeye na wengine wapo magereza mpaka leoMuhurumieni njaa si mchezo !
Shida ni kwamba Msigwa kaacha kutumia akili kuwaza badala yake kwa sasa anatumia tumbo kuwaza.Msigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.
Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.
Atavuna alichopanda.Kuna watu ni vilema kwa kumpigania yeye na wengine wapo magereza mpaka leo
unapenda ubishi wa kitoto sanakwahiyo anyang'anywe na azuiwe kabisaaaa haki na uhuru wake wa kutoa maoni na mtazamo juu ya mambo yaliyomfanya atoke na kujiunga kwingineko, right ?🤣
Hana amani hata kidogoAtavuna alichopanda.
Bulaya kaongea kwa utulivu Sana kuwa Msigwa Kahama kwa sababu ya hasira na alichokifanya ni utoto.
Kwamba madai ya Msigwa kuwa CHADEMA ni SACOSS ni ya kitoto na kipumbavu maana amepewa ubunge, alikua Mwenyekiti wa Kanda na posho kibao.
Amesema Hana tatizo na Msigwa Kahama ila ana shida na namna alivyohama. Ana akili, ameweka maneno ya akiba.
View: https://vm.tiktok.com/ZMrBuKK8T/
Kwan huyu ni Msigwa.?View attachment 3034043
Na kweli chama kilimlea.
kwamba wewe uwe na haki na uhuru wa kutoa maoni yeye apokwe haki na uhuru huo, right?🤣unapenda ubishi wa kitoto sana
Ndio mkuuKwan huyu ni Msigwa.?
Nimeshindwa kumtambua maana hapo alikuwa amezeeka mno.Ndio mkuu
Pesa ni sabuni mkuu .Nimeshindwa kumtambua maana hapo alikuwa amezeeka mno.