Bulaya ampa za Uso Msigwa

Msigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.

Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.
Unajua kuna yule x anakuacha ila bado una hasira nae, ili uonekane ww ndio umemuacha unamsagia kunguni
 
Wakumlaumu ni mbowe alie kuwa na nafasi kubwa yakuunda upunzani ulio na nguvu 2025 achukue viti vingi vya wabunge ili aongoze bunge yeye ameuwa cdm kwa Mikono yake mwenyewe, tangu alambe ile asali ilikimaliza cdm jumla.
 
Wakumlaumu ni mbowe alie kuwa na nafasi kubwa yakuunda upunzani ulio na nguvu 2025 achukue viti vingi vya wabunge ili aongoze bunge yeye ameuwa cdm kwa Mikono yake mwenyewe, tangu alambe ile asali ilikimaliza cdm jumla.
Hebu soma ulichoandika
 
Msigwa naye hakuwa na sababu ya kukisema chama ambacho kimemlea na kumtunza kwa miaka chungu nzima. Hata kama CHADEMA ina mapungufu, lakini bado alitakiwa kujizuia kuingelea vibaya.

Aache kunyea kambi. Maana kuna leo na kesho. Shauri zake.

..Msigwa kuisema vibaya Cdm baada ya kuhama sio tatizo.

..tatizo Ccm sio jukwaa sahihi kwa Msigwa kuisema vibaya Cdm.

..jukwaa sahihi kwa Msigwa lilipaswa kuwa chama kingine cha upinzani.
 

Kwa upande wangu namheshimu Sana msigwa na nilikuwa najifunza mengi kutoka kwake.Sikuwa na shaka na kuhama kwake ikiwa lengo lake lilikuwa ni kupata cheo na kutegemea kukipata ndani ya chama Cha mapinduzi.Lakini Kali zake dhidi ya chama ambacho alikitumikia kwa muda mrefu Tena akiwa kama sehemu ya wamiliki wa chama kama wengi wanavyosema kuwa chadema ni chama Cha watu wachache hasta akihusishwa Mzee wa kaskazini Bwana mkubwa Mbowe.Leo kurudi n kuanza kukosoa yaleyale ambayo alikuwa akiyahubil Tena kwa maneno makali pasipokufungwa mdomo na mbowe kunatupa picha kuwa Msigwa siyo mtu wa kumuamini.Lakini yote kwa yote karibu Iringa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…