Kwani Bongonyoso kunauchaguzi? Nigeresha tuBasi hiyo sheria itapitisbwa watu wazulumiwe lakini ukija uchaguzi wabongo wanawapa kula ao ao wakandamizaji ukiuliza kwa nini wanafanya ivo CCM
Hela wanazipiga balaaMtu akisimamishwa kazi alete nyaraka zake apewe chake. Mengine tutajichosha kulaumiana
Hivi wamemuona yule mwenzao alieunga juhudi kule Buyungu kapata ajali ya kugongwa na lamiView attachment 1752298
Bado mnauliza hawa ni wabunge wa chama gani?
kweli kabisaMbunge wa Viti Maalum, Esther Bulaya, amesema sio sawa kwa Mtumishi aliyeitumikia Tanzania kwa miaka mingi kumpangia matumizi ya fedha ya fedha yake kwa kumpa asilimia 25 huku asilimia 75 unasema utamlipa polepole.
Bulaya amesema Uongozi wa Hayati Dkt. Magufuli ulilazimisha kuweka mfumo mbovu na wa kinyanyasaji na hata ripoti ya Waziri Mkuu iliyosomwa jana Bungeni haisemi wazi ni kwa namna gani Serikali itatatua malalamiko ya Wafanyakazi katika Mafao yao.
Aidha, ameitaka Serikali kuacha kuchukua mikopo kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwasababu fedha hizo sio za Serikali bali wao ni watunzaji tu.
Purely wachawi tu. Hatuna wanasiasa sisi tuna wapigania matumbo yao tuNa wanao umiza watumishi ni wanasiasa ambao wamewahi kuwa watumishi wa umma. Wakiingia ktk siasa wanageuka wachawi.
Wabongo gani bali mburura walioko kitaa wasomi na wafanyabiashara wakubwa hawana ujinga huoBasi hiyo sheria itapitisbwa watu wazulumiwe lakini ukija uchaguzi wabongo wanawapa kula ao ao wakandamizaji ukiuliza kwa nini wanafanya ivo CCM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1752298
Bado mnauliza hawa ni wabunge wa chama gani?
Rais Samia Suluhu afute Ile sheria na Ile kauli ya mdomoni ya Magufuli, ya kusitisha Kikotoo Hadi 2023 imekufa naeKabisa mkuu