beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge Ester Bulaya (Viti Maalum) amesisitiza Mabadiliko katika Sheria ya Huduma ya Habari 2016 akisema Waandishi wa Habari bado wanatishwa na hawafanyi kazi kwa Uhuru kwenye baadhi ya maeneo.
Amefafanua, "Leo hakuna Habari za Kiuchunguzi, hata Makala zinazoandikwa ni za kawaida. Sheria hii ikiletwa kutakuwa na Mijadala ya kukosoa na kujenga Taifa letu. Wachambuzi wawe huru kwa Maslahi mapana ya Nchi"
Amefafanua, "Leo hakuna Habari za Kiuchunguzi, hata Makala zinazoandikwa ni za kawaida. Sheria hii ikiletwa kutakuwa na Mijadala ya kukosoa na kujenga Taifa letu. Wachambuzi wawe huru kwa Maslahi mapana ya Nchi"