kwenye kugombea udiwani 2010, Bulembo alitoa nyodo kama hizi.Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajiri hiyo.
Sijui Zitto kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Bulembo ni chizi tu, kwn zitto kumzalisha binti yake ndo igeuke kuwa vita?? 2010 kwenye udiwani kata ya kijitonyama alishindwa na mgombea wa chadema, akaenda mahakamani lkn bado akapigwa vile vile, je atamuweza zitto ?? Aache kutapa tapa huyo mzee...kigoma ina wenyeweAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajiri hiyo.
Sijui Zitto kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Hala hala...Bulembo! kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajiri hiyo.
Sijui Zitto kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Endelea kudhania hvyo hvyo ..bulembo alizidiwa na mkwele tu hapa kijitonyama ndo itakuwa kigoma?!Safari hii uchawi wa zito utadunda mbele ya bulembo
Jamaa akavue migebuka tu
Binti yake mwenyewe halipi wala nini! Amekaa kama ile pyramid ya utumwaHuyu Bulembo asije kuwa kama yule jamaa wa Bunda aliyeoa binti zake watatu.
Ana wivu sana kwa binti yake!
Lakini ndio usingizi wa ustaadh Zitto huo!Binti yake mwenyewe halipi wala nini! Amekaa kama ile pyramid ya utumwa
Itabidi akapime DNA asijekuwa ni " mtoto mjukuu"Zitto ameyaona kuzaa na halima bulembo Baba mkwe nuksi huyo
Ajiulize kwanza mwenzake aliyeshangilia sana alipototoa pendekezo la Zitto kuuwawa yuko wapi leo hii.Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajiri hiyo.
Sijui Zitto kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Huyu Mbatizaji fake, kabla ya mwezi kuandama AKILI yake inakuwa na AKILI!Huyu Bulembo asije kuwa kama yule jamaa wa Bunda aliyeoa binti zake watatu.
Ana wivu sana kwa binti yake!
Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo