kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
ushawahi kuona zitto anakamatwa kindenzi?"japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!."
[emoji848]Mkuu unaweza ukanidadavulia kidogo hapo?