Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hata kama atakosa huo ubunge unadhani atakuwa chokoraa kama wewe? Zzk asha wekeza vya kutosha.Zitto is goneView attachment 1482151
Siyo rofa kama wewe mramba miguu wa lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama atakosa huo ubunge unadhani atakuwa chokoraa kama wewe? Zzk asha wekeza vya kutosha.Zitto is goneView attachment 1482151
Hala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Atakuwa kwenye kitengo Cha kamati ya ufundiSioni uwiano wa kiuwezo wa kujenga hoja na kukubalika kati ya Bulembo na Zzk. Bila huruma ya rais Magufuli Bulembo bunge angelisikia kupitia tbc taifa
Hala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Safari hii uchawi wa zito utadunda mbele ya bulembo
Jamaa akavue migebuka tu
Kitakachomng'oa Zitto kinajulikana![emoji2211][emoji2211][emoji2211] View attachment 1482147
Endelea kudhania hvyo hvyo ..bulembo alizidiwa na mkwele tu hapa kijitonyama ndo itakuwa kigoma?!
Kwani hapa umesoma wapi kama NEC ndiyo wamesema ndiyo wanataka kugombea jimbo la mh Zitto?Zitto kurudi bungeni ngumu sana kama nec wakiamua hasirudi
Ametoa sababu za msingi ni kwanini hataki Zitto arudi tena Bungeni? Au hataki tu arudi? Sometimes ukisikiliza hoja za baadhi ya wanaCCM ni vichekesho; hawana hoja na hata ukimuuliza kwanini hana cha kujibu zaidi ya "... anamkwamisha Mh. Rais ...". Kwao, mwongo, mnafiki, as long as anasifu na kuabudu huyo ndiye mbunge!
Huyu Bulembo asije kuwa kama yule jamaa wa Bunda aliyeoa binti zake watatu.
Ana wivu sana kwa binti yake!
Zitto ameyaona kuzaa na halima bulembo Baba mkwe nuksi huyo
Kalekale bwashee.Hivi kabinti aliko kazalisha Zzk ni kale ka bungeni?
Lakini ndio usingizi wa ustaadh Zitto huo!
Corona imetembea nayeAjiulize kwanza mwenzake aliyeshangilia sana alipototoa pendekezo la Zitto kuuwawa yuko wapi leo hii.
Nimekasirishwa na kusikitishwa na ukosefu wa utu aliouonyesha mchora Vikaragosi,GADO. Anahitaji kuomba msamaha kwa Watanzania na Waafrika wote kwa ujumla.Kitakachomng'oa Zitto kinajulikana!
Akamuulize mudhihiri kilichomkutaAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
ZITO NI NOUMA KAMZALISHA BINTI YAKE.Bulembo ni chizi tu, kwn zitto kumzalisha binti yake ndo igeuke kuwa vita?? 2010 kwenye udiwani kata ya kijitonyama alishindwa na mgombea wa chadema, akaenda mahakamani lkn bado akapigwa vile vile, je atamuweza zitto ?? Aache kutapa tapa huyo mzee...kigoma ina wenyewe
GADO mnamuharibu ninyi. Ukweli ni kuwa mnachuma dhambi kwa mnachokifanya kwa makusudi. Nakupa pole kwa kutokujua dhambi unayoifanya. Back to your senses, Mkuu. It is not too late....nitakuwa nimekuonea?
... kuna kitu zaidi ya elimu Mkuu; wengine ni maprofesa na ma-phd lakini ukisikiliza hoja zao zinatia aibu! Nadhani neno maadili linakosekana kwenye siasa zetu; imefika mahali mtu kuongea uongo wa wazi hadharani anashangiliwa badala ya kukemewa!Mimi naona sheria ile inayo ruhusu elimu ya mbunge ni ile inayo muwezesha ajue kuandika na kusoma tu ni kikwazo sana.
Na hili ccm walilipitisha makusudi ili waendelee kuwapata wabunge wasiyo na uwezo wa kufikiri na kutenda