Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Afu huyu zito mbn ana macho meusi mnoZitto is goneView attachment 1482151
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu huyu zito mbn ana macho meusi mnoZitto is goneView attachment 1482151
Mkuu Mkeha, hili za Bulembo, lets just sit and watch!.Pascal uoga wako sio wa kubeza hata kidogo. Si unamkumbuka Mudhihir wa Mchinga jaribio lake pale Bungeni LA kumuuazimia Zitto Kabwe kilichofuata ni nini
Ata mimi kuna mzee nmepiga mimba binti yake na tunachuana udiwaniBaba ukiwa na binti ujiandae kuitwa mkwe
Ata mimi kuna mzee nmepiga mimba binti yake na tunachuana udiwani
Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Upuuzi kabisa. Halafu jamaa si kasema mwenyewe eti amestaafu? Anyway, nimpe jibu tu kwamba Zitto mmoja ni sawa na kina Bulembo mia mbiliAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Chanzo cha hiyo chuki ni nini mkuu? tupe hintsHala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Mtoto wake kupigwa mimbaChanzo cha hiyo chuki ni nini mkuu? tupe hints
Na wanaume kama BulemboHapana viti maalum ni kwa ajili ya wanawake tu
Picha ya binti tafadhaliBinti yake mwenyewe halipi wala nini! Amekaa kama ile pyramid ya utumwa
Halima anampenda sana Baba yake pia ana mpenda sana Mume wake
Pengine kitendo cha Halima kuolewa na Zitto kimeharakisha uamuzi wa Mzee Bulembo kutangaza kung'atuka
Mjukuu akikua anaambiwa Babu Yako alipambana Baba yako akose Kazi
Ila hata Mimi Kapuku bin Kabwela nmejulishwa kuwa imeamriwa bora Ccm ikose majimbo yote ya Mkoa Kigoma lakin Msaliti Zitto asirudi Bungeni
A knie on a neckKitakachomng'oa Zitto kinajulikana![emoji2211][emoji2211][emoji2211] View attachment 1482147
Hivi ni huyu parrot Bulembo?Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
NI UPUUZI uliopindukia ndugu yangu MmawiaBulembo kakosa maadili ya kitanzania au kiafrika, utashindanaje na mkweo?
Duh kumbe kamzalisha binti wa bulemboZitto ameyaona kuzaa na halima bulembo Baba mkwe nuksi huyo