residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huyu mzee hamnazo. Yaani bifu lote hilo kisa mugabogabo ka "walk" na damu yake,na mbavu zake 2!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira za mtoto wake kuzalishwa n ZZK Kisha kutupwa[emoji3]Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
ZZK alimzalisha kisha akamtema sasa mzee standard seven Bulembo ana hasira[emoji3]Binti yake mwenyewe halipi wala nini! Amekaa kama ile pyramid ya utumwa
Bulembo ni chizi tu, kwn zitto kumzalisha binti yake ndo igeuke kuwa vita?? 2010 kwenye udiwani kata ya kijitonyama alishindwa na mgombea wa chadema, akaenda mahakamani lkn bado akapigwa vile vile, je atamuweza zitto ?? Aache kutapa tapa huyo mzee...kigoma ina wenyewe
Nashukuru kwa kauli hii,maana inaonyesha unajua uovu wa huko chamani wazazi ku"walk" na watoto wao "mguu kwa mguu".Itabidi akapime DNA asijekuwa ni " mtoto mjukuu"
Yaani KIGOMA waamuliwe na standard seven wa kihaya?yaani kama anaona ZZK alifaidi kwa HALIMA naye afanye[emoji3]Baba mkwe wa Zitto Kabwe huyo kaamua hasa.
Zitto Lazima afunge virago
Hahahahaa 100% True.Kitakachomng'oa Zitto kinajulikana![emoji2211][emoji2211][emoji2211] View attachment 1482147
Hahahaaaa...... Umesikia ile ya jimboni kwa Bulaya?Nashukuru kwa kauli hii,maana inaonyesha unajua uovu wa huko chamani wazazi ku"walk" na watoto wao "mguu kwa mguu".
Hala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Harusi kwa Prof. Assad.Kwa Mujibu wa Mwanaharakati huru Cyprian Musiba alituambia Harusi ilifanyika kwa Prof Assad na Mshenga akawa Dr Dau, sasa sijui ni au ni uongo
Huyu aliifisadi sana Jumuia ya Wazazi ya CCM,ndiko alikovuna mabilioni yanayompa jeuri.Bulembo hata kuandika jina lake hajui anatembea na ink pad mfukoni
Bulembo hana adabuPaskali acha kupotosha, mshangiliaji kachomoka na Carolina. Zitto siyo kigagula kiasi hicho.
Anyway huyo bulembo anayetishia katumia kiinua mgongo chake kwani Zitto hakulipwa hayo mamilion? Haoni aibu kumshambulia mtu aliyemsaidia kazi ambayo bulembo haruhusiwi kufanya? Aheshimu mkwewe.
Udiwani hapa Kijitonyama alishindwa akaenda mahakamani akaangukia pua ndiyo akaambulia uenyeki wa Wazazi huko CCM ambako alipiga mabilioni kadhaa yanayompa jeuri hadi leo.Hivi Bulembo amewahi kushinda uchaguzi? Achana na huu ubunge wa viti maalumu aliozawadiwa
Kalekale bwashee.
Wapinzani wana kazi moja tu bungeni ya kuoa!
Bulembo ni chizi tu, kwn zitto kumzalisha binti yake ndo igeuke kuwa vita?? 2010 kwenye udiwani kata ya kijitonyama alishindwa na mgombea wa chadema, akaenda mahakamani lkn bado akapigwa vile vile, je atamuweza zitto ?? Aache kutapa tapa huyo mzee...kigoma ina wenyewe
Arafu yeye ndiye atakayechukua jukuma la kulipa ada za shule za mjukuu wake...huyu jamaa akili kumkichwa hamna kabisa....Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Bulembo kakosa maadili ya kitanzania au kiafrika, utashindanaje na mkweo?ZITO NI NOUMA KAMZALISHA BINTI YAKE.
THEN HUKO ANAKOKWENDA HATAANGUSHWA VIBAYA MNO....ANAPIGA NDANI NA NJE
We muache tuAsije akarudi bila mkono...!
View attachment 1482333