Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Inaweza kuwa kweli lakini kinachoonekana sasa CCM ni kundi la watu wanaojuana kwa ujumla ni kundi la watu majambazi na wahuni!

God is good always, definition ya CCM kwa sasa imejulikana. CCM ya akina Nyerere ilikuwa tofauti sana.
 
Frankly speaking BULE_ _O hamuwezi POLEPOLE kwenye Mdahalo.
 
😂😂😂
 
Ni Dc katika wilaya moja wapo za mkoa wa Tanga nadhani handeni kama sijakosea
 
Bulembo hana hata aibu fisadi mkubwa, ngoja aje mwamba mwingine afungwe.
 
Kinachosumbua upinzani nao hawana itikadi wanayoisimamia! Wao wapowapo tu lolote wanaenda nalo!
 
Huyo bulembo ni pimbi tu mnafki mkubwa, kwahyo CCM ni ya kwao peke yao?
Magufur alikua na mapungufu meng lkn nilichokuwa na mpendea alitaka kuondoa huu upumbavu wa baadh ya watu kujiona wao ndo special sana nchi hii kama huyu kima bulembo.

magufur alitaka kuuwa huu upuuzi wa baadh kujifanya wenyewe ndo wenye CCM na mapimbi wengne wanaojifanya wao kila siku na familiar zao ndo wenye sifa za kuwa viongpzi.. huyu pimbi kabisa
 
Daah[emoji28][emoji1787]
 
Huyu hojazake za utetezi nisawa na masanja alivyosema sikuile yauhuru.
 
Huyu hojazake za utetezi nisawa na masanja alivyosema sikuile yauhuru. Hutaki kumjibu alafu unamtaja.
 
Inaonekana anapenda sana midahalo. Wakati wa kampeni za Magu alisema Mbowe hamuwezi kisiasa, kama haamini anaandaa ukumbi wafanye mdahalo.
 
Siku Polepole anaingia kwenye chama kujitangaza, alipewa nguo za CCM na Nape Nnauye- Abdallah Bulembo
Na siku Nape alipoingia CCM alipewa nguo na nani? Balance and check
 
Kinachosumbua upinzani nao hawana itikadi wanayoisimamia! Wao wapowapo tu lolote wanaenda nalo!
Ni kweli tatizo lao wanarukia rukia mambo tu kwa kuangalia upepo. Kwa mfano walisema Lowasa ni fisadi baadae wakasema si fisadi na wakampa nafasi ya kugombea Urais. Kwa mama mwanzo walisifu kuwa anaupiga mwingi na ni mtu wa haki na anakomesha Sukuma gang baadae mwenyekiti alipobananishwa wakabadili upepo ooh mama anaonea yaani hawana msimamo na hawaeleweki kabisa.
 
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.

Akiwa Mwenyekiti wa wazazi huyu Bulembo amefanya ufisadi wa kutisha kwa kuuza shule nyingi zilizokuwa za wazazi!!! Aligoma kuhakikiwa mali alizokuwa anahodhi kwasababu alijua ufisadi wake ungeanikwa hadharani. Huyu ni mtu mroho wa mali kiasi kwamba ameweza hata kumdhurumu nyumba na kiwanja mama mjane kule Mbezi beach kwa kutumia mbinu za kiharamia!!!
Bulembo na genge lake hawala ubavu wa kushindana na Polepole kwa hoja!! ANALOGUE VS DIGITAL!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…