Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Tena wachache ni akina badluck&co, Mzee slow&co basi wengine hawana Chao ndani ya chukua chako mapema.Tanzania ndio yetu. CCM ni ya wachache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wachache ni akina badluck&co, Mzee slow&co basi wengine hawana Chao ndani ya chukua chako mapema.Tanzania ndio yetu. CCM ni ya wachache
Sure! Nape juzi mpaka analia kwenye kumbukizi ya baba yake! Huyu kijana mpumbavu sana vip huyo baba ake angekuwa rais? Akili kisoda sana huyu!Tanzania ndio yetu. CCM ni ya wachache
Wanaruka kinyama!Mugambo wanaruka na kukanyagana
Mimi nakwambia pale CCM hakuna mtu wakusimama na polepole akamshinda kwa ushawishi! Japo nae anamakandokando yakeCCM chalii
Safi sana mamaeee
Ila awakumbatie akina polepole au sioRais awe makini sana na hawa wazee,watamsumbua, atakosa uwezo wa kufanya maamuzi
Huyu polepole ambaye tulimtoa wenezi au kuna mwingineMimi nakwambia pale CCM hakuna mtu wakusimama na polepole akamshinda kwa ushawishi! Japo nae anamakandokando yake
Ambao ndio priority huko 🤣🤣🤣Darasa la 7 bila PhD!
Bulembo na bashiru hawajawahi kuwa marafiki as bashiru kujifanya godfather mpya wa CCM akizarau wakongweKumpa bashiru ukatibu mkuu ccm, ilikua big mistake kweli kweli...
We babako ana historia gani nchiniSure! Nape juzi mpaka analia kwenye kumbukizi ya baba yake! Huyu kijana mpumbavu sana vip huyo baba ake angekuwa rais? Akili kisoda sana huyu!
Ndo nakwambia fanya utafiti pale CCM nani anamvuto wa kisiasa maana hata mama kapoa kama kiporo cha juzi!Huyu polepole ambaye tulimtoa wenezi au kuna mwingine
Ndio maana yake,wazee wakalee wajukuu.Ila awakumbatie akina polepole au sio
Mimi babangu anamanufaa ya familia yetu hata kama wewe huyaoni! Huyo baba na Nape hana maana kwangu kama ni mjinga ni mjinga tu!We babako ana historia gani nchini
Elezea kidogo mkongwe...Kumpa bashiru ukatibu mkuu ccm, ilikua big mistake kweli kweli...
Aisee! Kweli JF ni bahari ya habariHahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.
Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.
Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
Bila tume huru ya uchaguzi ni bure tuZito alimla mwanae .Mzee wkamruka huku mjukuu katulia na DNA ya kiha. Huyu Mzee alifunze kukaa kimya ,CCM hayupo wa kushindana na slow slow Kwa hoja. Ni rasmi wahuni wanaturudisha tulikotoka. Upinzani kama Wana akili waendelee kujipanga .
Jiongeze Chief, since Feb 28 haonekani humu hahahaHe kumbe Bia yetu alikuwa mheshimiwa?
Huo ukweli kaongea lini? Before 2015? Baada ya kuteuliwa na Magu? Au sasa baada ya kupokonywa tonge? Kati ya hao Polepole wa3 nani kaongea ukweli?Sijui umetumia upande upi wa ubongo kufikiria....
Tuambie hapa kosa la Polepole.
Kwa maandishi yako inaonesha unakubaliana na Polepole ila una hofu yatampata yakumpata sababu ya ukweli wake.
Je ukiongea uongo utaishi milele?