Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Hahahah mda mwingine akina Bulembo wanasumbuliwa na udini pamoja na ujinga! Yaani anajidai alikuwa anampenda Magufuli kwani kutembea na Magufuli kama kampeni maneja ndo kuwa naupendo nae? Yaani ukimsikiliza ndo utajua kiwango chake cha ujinga!
Hamna aliyempenda Magu, ila ulilazimika kuwa nae, mteuliwa wa CCM unalazimika kumfanyia kampeni ukiwa mwanachama, hata usipompenda. Ila tatizo la Magu lilianza aliposhika madaraka si kabla, wengi tulimuunga mkono, lakini akatuona mafala!
 
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.

Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.

Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
Daaah!
Akaona ili awe karibu na ccm bora asogeze kiunganishi 😃
 
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.

Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.

Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
HALAFU BULEMBO AKAKASIRIKA AKAJENGA BIFU NA ZITTO. ZITTO NAKO KAKOMAAA ANAKULA TU MZIGO WA MTOTO WA BULEMBO.
 
Maneno ya Bulembo!

Polepole ni unyasi mkavu ni mdogo sana Mangula ashughulike naye.

Bulembo anataka mdahalo na Polepole na yuko tayari kulipia ukumbi.

Bashiru wa CUF hakutakiwa kuwa pale maana hajakulia katika chama cha mapinduzi! Sasa najiuliza kumbe chama cha mapinduzi ili uwe kwenye kundi la mwenye chama unatakiwa uwe umekulia humo!

Inaonekana pia suala la kinana na makamba ni kubwa hawa wazee ndo CCM yenyewe!

Paramagamba Kabudi aliharibu mahusiano ya kimataifa na Rais Samia sio sawa na Magufuli!

Hayo ni mambo ya Bulembo! Mmoja ya wenye COmbi.

Ombi! Vijana ambao Baba zenu sio wenye chama mwisho wenu 2025!
 
Maneno ya Bulembo!

Polepole ni unyasi mkavu ni mdogo sana Mangula ashughulike naye.

Bulembo anataka mdahalo na Polepole na yuko tayari kulipia ukumbi.

Bashiru wa CUF hakutakiwa kuwa pale maana hajakulia katika chama cha mapinduzi! Sasa najiuliza kumbe chama cha mapinduzi ili uwe kwenye kundi la mwenye chama unatakiwa uwe umekulia humo!

Inaonekana pia suala la kinana na makamba ni kubwa hawa wazee ndo CCM yenyewe!

Paramagamba Kabudi aliharibu mahusiano ya kimataifa na Rais Samia sio sawa na Magufuli!

Hayo ni mambo ya Bulembo! Mmoja ya wenye COmbi.

Ombi! Vijana ambao Baba zenu sio wenye chama mwisho wenu 2025!
Kumpa bashiru ukatibu mkuu ccm, ilikua big mistake kweli kweli...
 
Daah kweli Magufuli alitisha, hawa wazee walipigwa pini kali sana hakuna cha bulembo,makamba wala nani,saiv ndio wanajitokeza.
Ha ha ha, jamaa alikua na msimamamo, anateua wapinzani, anawapa uwaziri, uongozi chamani,, walioanza tangu chipukizi wanatupwa nje,, anateua wanyantuzu,, na hakuna mtu atakohoa,, ila at least alijitahidi kubalance dini... No wait... [emoji134][emoji134]
 
Sasa kumekucha " if they can split in themselves "fine mjue ukombozi wa kweli na democrasia ya kweli inaenda kukaribia..Japo ..upinzani wawee makini mana neno CCM kutajwa tajwa inawrza kuwa kampeni tosha ya uchaguzi ujao. UPINZANI NI wakati wa kupanga mikakati ya offcate haya yanayoendelea!!wache waparuane tujue black and white!!
Upinzani upi?
Polepole anatosha
 
Sasa ni rasmi hali inazidi kuwa ni tete ndani ya ccm .

.Sitaki kumjibu Polepole, kwenye CCM ni mchanga, ni sawa sawa na mtoto wa darasa la kwanza anajibiwa na wa chuo kikuu.


. Polepole ni sawa na unyasi mkavu. Siku Polepole anaingia kwenye chama kujitangaza, alipewa nguo za CCM na Nape Nnauye- Abdallah Bulembo.
https://t.co/gXprhiWjM8
 
Huyu Polepole hawajui CCM vizuri, akamuulize Sabaya jela!! CCM wanachoangalia matumbo yao tu, siku likimpata la kumpata hao wanaomshabikia hatamuona hata mmoja, sana sana watakuwa wanamchagiza kwa ids fake mitandaoni
Sijui umetumia upande upi wa ubongo kufikiria....
Tuambie hapa kosa la Polepole.
Kwa maandishi yako inaonesha unakubaliana na Polepole ila una hofu yatampata yakumpata sababu ya ukweli wake.
Je ukiongea uongo utaishi milele?
 
Maneno ya Bulembo!

Polepole ni unyasi mkavu ni mdogo sana Mangula ashughulike naye.

Bulembo anataka mdahalo na Polepole na yuko tayari kulipia ukumbi.

Bashiru wa CUF hakutakiwa kuwa pale maana hajakulia katika chama cha mapinduzi! Sasa najiuliza kumbe chama cha mapinduzi ili uwe kwenye kundi la mwenye chama unatakiwa uwe umekulia humo!

Inaonekana pia suala la kinana na makamba ni kubwa hawa wazee ndo CCM yenyewe!

Paramagamba Kabudi aliharibu mahusiano ya kimataifa na Rais Samia sio sawa na Magufuli!

Hayo ni mambo ya Bulembo! Mmoja ya wenye COmbi.

Ombi! Vijana ambao Baba zenu sio wenye chama mwisho wenu 2025!
Derby la nzi wa kijani ndani ya lumumba!!
 
Back
Top Bottom