mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Sasa kumekucha " if they can split in themselves "fine mjue ukombozi wa kweli na democrasia ya kweli inaenda kukaribia..Japo ..upinzani wawee makini mana neno CCM kutajwa tajwa inawrza kuwa kampeni tosha ya uchaguzi ujao. UPINZANI NI wakati wa kupanga mikakati ya offcate haya yanayoendelea!!wache waparuane tujue black and white!!