Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Hahahah mda mwingine akina Bulembo wanasumbuliwa na udini pamoja na ujinga! Yaani anajidai alikuwa anampenda Magufuli kwani kutembea na Magufuli kama kampeni maneja ndo kuwa naupendo nae? Yaani ukimsikiliza ndo utajua kiwango chake cha ujinga!
Maccm yote huwa ni majinga.
 
Yuko sahihi dhana ya CHIPUKIZI [emoji117]UVCCM [emoji117]CCM etc haikuasisiwa from no where, waasisi walitaka vijana wakulie kwenye chama ili wawapike kikamilifu tokea wakiwa CHIPUKIZI wa chama then UVCCM mpaka ngazi ya juu. Hapa ndipo ilipoanza kauli maarufu ya CCM ina wenyewe wanaokijua chama mwanzo mwisho. Na hili linatupa sasa picha kwamba kitendo cha chama kusomba wahamiaji kiliwakera sana wenyeji..
Unawaambia nn wahamiaji???
 
Anasema nguo ya kwanza ya CCM Polepole alikabidhiwa na Nape hahaha
 
Huyu Polepole hawajui CCM vizuri, akamuulize Sabaya jela!! CCM wanachoangalia matumbo yao tu, siku likimpata la kumpata hao wanaomshabikia hatamuona hata mmoja, sana sana watakuwa wanamchagiza kwa ids fake mitandaoni
 
Vipi sindano imegonga mfupa shekhe? Nyie wavaa madera baadhi yenu kichani kuna tatizo!
Akili zenu fupi kila mkiona kiongozi wa dini nyingine mnakimbilia udini. Wewe na huyo Polepole very soon mtavuliwa chupi
 
Akili zenu fupi kila mkiona kiongozi wa dini nyingine mnakimbilia udini. Wewe na huyo Polepole very soon mtavuliwa chupi
Hakuna kitu hapo! Huyo Bulembo na akina zitto udini ndo unawasumbua mnajidai kuwatetea akina Makamba na kinana! Wanafiki sana nyie!
 
Maneno ya Bulembo!

Polepole ni unyasi mkavu ni mdogo sana Mangula ashughulike naye.

Bulembo anataka mdahalo na Polepole na yuko tayari kulipia ukumbi.

Bashiru wa CUF hakutakiwa kuwa pale maana hajakulia katika chama cha mapinduzi! Sasa najiuliza kumbe chama cha mapinduzi ili uwe kwenye kundi la mwenye chama unatakiwa uwe umekulia humo!

Inaonekana pia suala la kinana na makamba ni kubwa hawa wazee ndo CCM yenyewe!

Paramagamba Kabudi aliharibu mahusiano ya kimataifa na Rais Samia sio sawa na Magufuli!

Hayo ni mambo ya Bulembo! Mmoja ya wenye COmbi.

Ombi! Vijana ambao Baba zenu sio wenye chama mwisho wenu 2025!
Daah kweli Magufuli alitisha, hawa wazee walipigwa pini kali sana hakuna cha bulembo,makamba wala nani,saiv ndio wanajitokeza.
 
Hakuna kitu hapo! Huyo Bulembo na akina zitto udini ndo unawasumbua mnajidai kuwatetea akina Makamba na kinana! Wanafiki sana nyie!
Rais awe makini sana na hawa wazee,watamsumbua, atakosa uwezo wa kufanya maamuzi
 
Polepole alipewa shati la chama na Nape wakati anatangazwa kwa mara ya kwanza kuwa katibu mwenezi![emoji23]
Hyo sio sababu hta ww unaweza ukapewa pen na jamaaa yako na ukafeli mtihani mwenzako akatoboa
 
Wakati hawa viongozi walikuwa wakinyanyaswa awamu 5 na tuseme ilikuwa ni Udini
Wakae pembeni, washazeeka Walee wajukuu ,sio kila siku lazima tuwasikie wao ndio wapo serikalini
 
Tunaomba ombi la mdahalo lipite...hoja kwa hoja live
 
Back
Top Bottom