Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
uuh! katika watu tunaopata shida kupost hapa basi ni mie.....siwezi kupost kwa njia ya kawaida.....lazima nikipost nitoke the niingie la sivyo napata page ya bonge la tangazo la jf sipelekwi kwenye post niliyoipost.......kwa kuwa nimeshazoea mikikimikiki ya ki cyber nikaona si tatizo kwangu.....
........but jana nikaona tofauti...nikasema hii thread ya mengi lazima itoe mtu kafara let me step aside.....kurudi nakuta ai jukwaa la siasa lila watu 57!....nikasema something happened...nikajua kuna ki2 si kawaida...nikatoka ili kujihami....
hako kajamaa natamani nikageuze makalio yake nikachape vioko hamsa ishirini....Invisible tuambie attack imetokea pande ipi ya globe.....JF haifi
........but jana nikaona tofauti...nikasema hii thread ya mengi lazima itoe mtu kafara let me step aside.....kurudi nakuta ai jukwaa la siasa lila watu 57!....nikasema something happened...nikajua kuna ki2 si kawaida...nikatoka ili kujihami....
hako kajamaa natamani nikageuze makalio yake nikachape vioko hamsa ishirini....Invisible tuambie attack imetokea pande ipi ya globe.....JF haifi