Bumbuli na Yanga SC yako si mnajifanya mnajua kukanusha na kuficha yanayoendelea, ikanusheni na hii pia

Bumbuli na Yanga SC yako si mnajifanya mnajua kukanusha na kuficha yanayoendelea, ikanusheni na hii pia

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nilishasema kuwa kuna Kazi iliyo nyepesi sana Kwangu Mightier ni ya Kufuatilia Habari ngumu na zinazofichwa ndani ya Klabu ya Yanga.

Kwa taarifa nilizopemyezewa na Mmoja wa Waandamizi wa Yanga SC (asiyependa Unafiki na Uwongo) kasema kuwa Wachezaji Waandamizi wa Yanga SC akina Deus Kaseke, Adeyum Saleh na Ditram Nchimbi wakiwawakilisha Wenzso wamekasirishwa na Usajili wa Msemaji mpya Haji Manara na Kuhoji iweje aliyewaita na Kuwadhalilisha kuwa ni Takataka leo yupo nao?

Haya Msemaji Msaidizi Hassan Bumbuli na Makamu Mwenyekiti Mwakalebela si mnajifanya mnajua kukanusha na kuficha Siri ya Mapungufu yaliyoko Yanga SC? Haya kanusheni na hii Taarifa pia.

Wiki ijayo ninakuja na Kali kuliko hii JF.
 
Msemaji alitujuza kuwa hao ni Wachezaji wa kuokoteza.

Ndio maana hao wachezaji walipoifunga Simba walimjibu Haji kwa kuokota chupa za Maji na makopo na kwenda kutupa kwenye Dustbin.

Kwa kuwa Haji amejiunga nao na hajawaomba msamaha, Na yeye ametelekezwa na Simba ni sawa hao ni wenzake wampokee tu hapo kitaani Jangwani.
 
kwenye ubora wake, mtatapatapa sana wala hatuna mda wa kujibizana ujinga wako, tunaendeea na focus yetu endeleeni kubwata
 
Nakumbuka wakati utopolo wanatupiga goli moja siku 2 kabla y a mechi kabwili na nchimbi walipost clips wakiilamikia hiyo kauli wakasema SISI TAKATAKA SIYO TUTAONA BASI...naamini hii habari kwamba wengi wao hawajasamehe hata kidogo, Its just a matter of time kina manula wataanza kutukanwa na lile jitu
 
Screenshot_20210915-182832_Chrome.jpg

Screenshot_20210915-182918_Chrome.jpg
 
Nilishasema kuwa kuna Kazi iliyo nyepesi sana Kwangu Mightier ni ya Kufuatilia Habari ngumu na zinazofichwa ndani ya Klabu ya Yanga.

Kwa taarifa nilizopemyezewa na Mmoja wa Waandamizi wa Yanga SC (asiyependa Unafiki na Uwongo) kasema kuwa Wachezaji Waandamizi wa Yanga SC akina Deus Kaseke, Adeyum Saleh na Ditram Nchimbi wakiwawakilisha Wenzso wamekasirishwa na Usajili wa Msemaji mpya Haji Manara na Kuhoji iweje aliyewaita na Kuwadhalilisha kuwa ni Takataka leo yupo nao?

Haya Msemaji Msaidizi Hassan Bumbuli na Makamu Mwenyekiti Mwakalebela si mnajifanya mnajua kukanusha na kuficha Siri ya Mapungufu yaliyoko Yanga SC? Haya kanusheni na hii Taarifa pia.

Wiki ijayo ninakuja na Kali kuliko hii JF.
Kama ni kweli basi hao wachezaji nao watakua na 'uwalakini' kichwani mwao.

Wanashindwa kuelewa kua wao ni wafanyakazi tu wa yanga kama ilivyo kwa haji na siku zao zikifika pia nao wataondoka kama NUGAZ.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia. Kwa Nchimbi na Adeyemu manara yupo sahihi. Kwa Kaseke na wenzake Manara anapaswa kumuomba msamaha.
Cha kuongezea tu Yanga haitafika kokote Kama full backs wataendelea kuwa Adeyumu na Kibwana.
 
Lisemwalo lipo na mficha maradhi mauti humuumbua uzi safi hauna wachangiaji!
Kwa Uwazi na Ufichuaji wangu huu Kwao wana Yanga SC waliopo hapa JamiiForums ulitegemea ungewafurahisha na wangeusapoti?

Na kwa Kuwasaidia tu ni kwamba hata aliyenipa hii Taarifa Muhimu sana yupo nao Yanga SC ( tena katika Uongozi wao ) na Safarini nchini Nigeria atakuwepo na ndiyo kanipa pia na Taarifa nyingine Kubwa ambayo nasubiri Wakifungwa Jumapili niitoe Jumatatu wakiwa bado na Machungu ili Waumie zaidi.
 
Yaani Mtu Aseme Yanga Kuna Wachezaji 'taka taka'...! Afu leo Yupo nao.

Hao Wachezaji Wanayo haki Kukasirika.

Asiyekasirika Kwa Hilo akili yake haupo Sawa.
Uko sahihi na unaambiwa karibia 95% ya Wachezaji wa Yanga SC hawamtaki Msemaji wao mpya Haji Manara na kwamba walipanga Kugoma isipokuwa kuna Kiongozi Mmoja ( tena Waziri ) katika Serikali ya Rais Samia ndiyo Kawasihi wasifanye hivyo kutokana Kipindi hiki wana Jukumu Kubwa la Kimataifa.
 
Wamuache atafute maisha japo ni msaliti
Moto dhidi ya Haji Manara utaanza rasmi Jumapili hii Usiku wanapoenda Kutolewa CAF CL na asipoachana na Yanga SC nakuhakikishia Ndugu baada ya Mechi ya Ngao ya Jamii ( Hisani ) ambayo Yanga SC hata wafanyeje wana 85% ya Kufungwa na Simba SC ndipo wanaenda Kumuumbua, Kumdhalilisha, Kumtukana na asipoangalia wakiwa nae karibu Kichapo ( Kipigo ) kutoka kwa Mashabiki wenye Hasira Kali wa Yanga SC kitamuhusu.
 
kwenye ubora wake, mtatapatapa sana wala hatuna mda wa kujibizana ujinga wako, tunaendeea na focus yetu endeleeni kubwata
Imeshapenya hiyo Ndugu na Jumatatu ijayo nakuja na Exclusive nyingine tena iliyo mbichi ( moto Moto ) kabisa kutoka ndani kabisa ya Yanga SC na najua mtatafutana hapa JamiiForums. Nawajua kuliko mnavyojijua Wapuuzi wakubwa nyie.
 
Nakumbuka wakati utopolo wanatupiga goli moja siku 2 kabla y a mechi kabwili na nchimbi walipost clips wakiilamikia hiyo kauli wakasema SISI TAKATAKA SIYO TUTAONA BASI...naamini hii habari kwamba wengi wao hawajasamehe hata kidogo, Its just a matter of time kina manula wataanza kutukanwa na lile jitu
Akina Hassan Bumbuli ( Msemaji wa Yanga SC ) na Makamu Mwenyekiti wake Frederick Mwakalebela ( Tumbo Tumbo ) si huwa wanajifanya Kukanusha Taarifa za Yanga SC na kufanya ni Siri basi wajitokeze na Waikanushe na hii pia Kudadeki zao. Nimewashika pabaya na patamu.
 
Hao wachezaji ni waajiriwa wafanye kazi na wasimchagulie wala kumfundisha mwajiri , wajifunze kutoka kwa mzee wa mvi na chadomo. Ukihama unafuta kila kitu unaanza upya, yote aliyoyafanya yalikuwa propaganda
 
Back
Top Bottom