DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Wanafunzi wala hawajui kinachoendelea juu ya huu mpango wa fitina. Yawezeka wengine wasijiandikishe kabisa au wajiandikishe lkn wasipige kura lkn fitina itawapigia kura.Kama wanafunzi watakuwa likizo inamaana wataingiza kula kutoka kusikojulikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona pumzi imekukata, kampeni zikianza si ndio utakufa kabisa!Oh mikutano ya hadhara imekatazwa, sasa huu ni nini?
Siku atakaporejea CCM mtuwekee tena hizi picha!
Bwashee huyu si mtamuhonga milioni 700/=Siku atakaporejea CCM mtuwekee tena hizi picha!
Kumbe hapo ni kiwanja cha netiboli sio?
Kumbe hapo ni kiwanja cha netiboli sio?
Wewe ni kiroboto. Mbona bado hujaenda bandarini kugomboa lile bus alilopewa Lisu kule ubelgiji?Tatizo lako ulitoroka mirembe kabla hujapona
In God we Trust
Huyo habari zake anazo mzee wetu WasiraDuh.. !, sii mchezo!.
Huyu binti toka longi ni mwanamke wa shoka
Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu!
Wanabodi, Katika pita pita yangu viunga fulani hapa mjini Dodoma, nimepita mahali nikukata baadhi ya watu na heshima zao, wakimsifu huyu mbunge kijana wa CCM, Mhe, Esta Bulaya, kuwa amefanya tukio kubwa la ushujaa mkubwa katika medani za siasa. Kwa jinsi nilivyosikia kuhusu alichokifanya...www.jamiiforums.com
Ila pia usidanganywe na makundi ya watu.
Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Wanabodi, Nimepita hapa Jangwani kwenye uzinduzi wa kampeni za UKAWA, mchana huu saa 8:45, kitu nilichokishuhudia, kama kipimo uha ushindi wa uchaguzi, ni Idadi ya watu waliojitokeza kwa ridhaa zao, bila kuhongwa Tshirt na kofia, nauli na shibe ya siku moja, na ikatokea umati wote huu ni umati...www.jamiiforums.com
P
Ongea vizuri, sio kurejea Bali sema siku atakayo lazimika kwenda ccm uwekewe picha hizo.Siku atakaporejea CCM mtuwekee tena hizi picha!
Wewe ni kiroboto. Mbona bado hujaenda bandarini kugomboa lile bus alilopewa Lisu kule ubelgiji?
Ongea vizuri, sio kurejea Bali sema siku atakayo lazimika kwenda ccm uwekewe picha hizo.
Hakuna anayerejea kwa hiari bali ni Blackmailing tuu ndiyo inafanyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh...!.
Mungu ibariki Chadema
Anawaaga wananchi
Pascal unashangaa nini ndugu yangu?Duh...!.
P
Nizaidi ya Magufuli.