mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,664
- 2,324
Hahahaaaaa......... Siasa ni sayansi bwashee.
CCM imefocus kwenye ushindi wa 99.99%........kama ulipofikia uchunguzi wa Kangi!
We toka ufurahie kupigwa risasi kwa Tundu Lissu nilikushusha thamaniSafi sana, kudo kwake! Na hili linatokea hapa hapa Tanzania? Sasa mwingine atasema "upinzani unazuiliwa kufanya mikutano ya nje"...
We toka ufurahie kupigwa risasi kwa Tundu Lissu nilikushusha thamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu binti ni jembe kweli kweli, ni mwanamke wa shoka, tena mimi najisikia very proud kum spot toka kitambo!, angalia tarehe ya bandiko hili
PMbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu!
Wanabodi, Katika pita pita yangu viunga fulani hapa mjini Dodoma, nimepita mahali nikukata baadhi ya watu na heshima zao, wakimsifu huyu mbunge kijana wa CCM, Mhe, Esta Bulaya, kuwa amefanya tukio kubwa la ushujaa mkubwa katika medani za siasa. Kwa jinsi nilivyosikia kuhusu alichokifanya...www.jamiiforums.com
Kadili anavyozidi kuimarika ndivyo bei yake inazidi kupanda kule Lumumba mnada kati ya Polepole na Bashiru umepamba moto.Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.
Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.
Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu. View attachment 1366576
In God we Trust
Lowassa watu mlipiga deki,mrema toka ubungo mpaka kiraracha moshi watu walisukuma gari na bado watu walila usingizi wao sembuse huyu ambaye hata darasa moja hajazi!Leo hii lazima mtalazimika kukesha kumjadili huyu mama maana mkutano wake umewatisha
In God we Trust
Njaa humtoa mtu ufahamu!Mimi ni mwana CDM kwa mapenzi, siyo wewe mwana CCM maslahi.
In God we Trust
Ulanzi ukishakolea hata nguo utavua vuaaaaaaaaaa!
Mikutano si imezuiwa!Wakiona hivi CCM na wao wanaanza kuandaa Mafuso hehehehee...mwe!
Nakuona hapo uliponyimwa posho ukarukia upande wa pili!
Wacha kujifariji
In God we Trust
Wangekuua ile siku yaani umkwapulie mtu mfukoni ujitie kuvaa magwanda kwa kisingizio wewe ni kamanda!CCM reloaded! CCM oyee.View attachment 1366627
Mzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, sasa hapa unatufanya sisi wengine tushindwe kabisa kukuelewa. Tumetoka nawe mbali, tumeshuhudia mengi, tumeshauri mengi, tumekosoa mengi...lakini kwa sasa huku unakoelekea inatubidi tujiulize, kweli huyu ni mwenzetu yule yule au hapa tuna pandikizi linalotumia jina na avatar yake.Safi sana, kudo kwake! Na hili linatokea hapa hapa Tanzania? Sasa mwingine atasema "upinzani unazuiliwa kufanya mikutano ya nje"...
Ile barua ya OCD wa Momba?Mikutano si imezuiwa!
Hao uliowasema wanasurvive kwa sababu ni watoto wao, wangekuwa wa Tandale saa hizi wangeshapoteaElimu kwa mwanamke ni elimu kwa taifa. Hii nchi ingekua na wanawake wengi wapiganaji kama kina Ester, Fatma, Maria na wengine wasioogopa makucha ya mamlaka, wanawake waiotegemea kubebwa na kupendeleea kama kina Semenya, nchi ingepiga hatua sana.
Tatizo tuna wanawake wengi na wanaume wwngi waoga, wanaotegemea katikati ya miguu yao iwatetee.
Tuwaunge mkono wanawake wapambanaji. Wanawake aina ya Ester ni wanawake ambao natamani nikija kupata mabinti zangu wawatazame kama mifano ya kupambana,kutegemea akili zao na sio makalio au nyuchi zao.
Daah!...Polisi wamefanywa wa kijinga sana sijui ni kwa nini hili Taifa linateketezwa kwa makusudi mchana kweupe na hawa MaccmMzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, sasa hapa unatufanya sisi wengine tushindwe kabisa kukuelewa. Tumetoka nawe mbali, tumeshuhudia mengi, tumeshauri mengi, tumekosoa mengi...lakini kwa sasa huku unakoelekea inatubidi tujiulize, kweli huyu ni mwenzetu yule yule au hapa tuna pandikizi linalotumia jina na avatar yake.
Hapa chini tunaye mbunge wa kuchaguliwa na tunaye afande, ambaye kiustaarabu na kiitifaki, anatakiwa awe na heshima kwa mwakilishi wa wananchi. Lakini badala ya kutoa ulinzi kama katiba inavyomtaka anamzuia mbunge asiongee na wananchi wake jimboni kwake eti lazima aombe na apewe kibali, kweli?
Yaani tunayo katiba ndani ya Jamhuri ya Muungano inayomtaka Mbunge apate kibali cha afande huyu ili aweze kuongea na wananchi wake waliompigia kura. Mzee Mwanakijiji, unapopinga tena kwa kebehi kwamba hali kama hii haitokei haha hapa Tanzania, ungependa baadhi yetu tukueleweje? Please give us a break!
Kadili anavyozidi kuimarika ndivyo bei yake inazidi kupanda kule Lumumba mnada kati ya Polepole na Bashiru umepamba moto.
Wa kujifariji ni wewe baada ya kutuletea picha za maendeleo aliyofanya unatuletea picha za vibaka wasio na kazi!