Uchaguzi 2020 Bunda: Haijawahi kutokea Esther Bulaya avunja rekodi akusanya watu kwa maelfu,Wazee wa mji wasema niyeye tu Bunda Mjini Oct 25

Hahahaaaaa......... Siasa ni sayansi bwashee.

CCM imefocus kwenye ushindi wa 99.99%........kama ulipofikia uchunguzi wa Kangi!

Sasa hivi ccm kila kitu ni 99, na huo ujinga jiwe ndio anawakaririsha. Utasikia ccm itashinda kwa 99%, makusanyo ya TRA ni 99% ya lengo. Sasa hivi takukuru wamekamilisha uchunguzi wa noma ya kina Kange kwa 99%!
 


___________________________________

Mkuu Paschal,

Heshima yako mkuu wangu,Asante kwa sapoti yako kwa Dada hakika anastahili pongezi tena na tena,
 
Kadili anavyozidi kuimarika ndivyo bei yake inazidi kupanda kule Lumumba mnada kati ya Polepole na Bashiru umepamba moto.
 
Ni kura tu zinahesabika, kama zitakuwa zimepigwa kwa haki na uhuru.

Katika kundi hilo, CHADEMA wanahesabu kura ngapi?


Sasa fikiria, kila mmoja wa hao hapo, akiwa amepata motisha wa kutosha kuunga mkono juhudi za Ester, na akamtafuta mtu wake mmoja wa karibu kuungana naye kuipa CHADEMA kura yake!

Huhitaji kampeni kubwa sana ya kupiga kelele majukwaani kuwa na uwezo wa kufanya hayo.
 
Leo hii lazima mtalazimika kukesha kumjadili huyu mama maana mkutano wake umewatisha

In God we Trust
Lowassa watu mlipiga deki,mrema toka ubungo mpaka kiraracha moshi watu walisukuma gari na bado watu walila usingizi wao sembuse huyu ambaye hata darasa moja hajazi!
 
Unafiki wa viongozi wa ccm unatisha. Hawataki vyama vingine hata kidogo.

Hizi porojo za "mniombee" ni unafiki wa kutisha.

Kifupi ni kwamba ccm ni kizazi cha nyoka. Chama hicho na polisi wake wamekuwa den of vipers. Mungu tunusuru, kwani watamwaga damu mwaka huu. Tena labda nyingi. Dalili zote zinaonyesha hivyo.
 
Safi sana, kudo kwake! Na hili linatokea hapa hapa Tanzania? Sasa mwingine atasema "upinzani unazuiliwa kufanya mikutano ya nje"...
Mzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, sasa hapa unatufanya sisi wengine tushindwe kabisa kukuelewa. Tumetoka nawe mbali, tumeshuhudia mengi, tumeshauri mengi, tumekosoa mengi...lakini kwa sasa huku unakoelekea inatubidi tujiulize, kweli huyu ni mwenzetu yule yule au hapa tuna pandikizi linalotumia jina na avatar yake.

Hapa chini tunaye mbunge wa kuchaguliwa na tunaye afande, ambaye kiustaarabu na kiitifaki, anatakiwa awe na heshima kwa mwakilishi wa wananchi. Lakini badala ya kutoa ulinzi kama katiba inavyomtaka anamzuia mbunge asiongee na wananchi wake jimboni kwake eti lazima aombe na apewe kibali, kweli?


Yaani tunayo katiba ndani ya Jamhuri ya Muungano inayomtaka Mbunge apate kibali cha afande huyu ili aweze kuongea na wananchi wake waliompigia kura. Mzee Mwanakijiji, unapopinga tena kwa kebehi kwamba hali kama hii haitokei haha hapa Tanzania, ungependa baadhi yetu tukueleweje? Please give us a break!
 
Hao uliowasema wanasurvive kwa sababu ni watoto wao, wangekuwa wa Tandale saa hizi wangeshapotea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah!...Polisi wamefanywa wa kijinga sana sijui ni kwa nini hili Taifa linateketezwa kwa makusudi mchana kweupe na hawa Maccm
 
Itabidi wasubirire WB wakubali kutoa yale mafweeza
Kadili anavyozidi kuimarika ndivyo bei yake inazidi kupanda kule Lumumba mnada kati ya Polepole na Bashiru umepamba moto.

In God we Trust
 
Kumbe hao wafuasi ni vibaka siyo? Amakweli kuzaa siyo kupata
Wa kujifariji ni wewe baada ya kutuletea picha za maendeleo aliyofanya unatuletea picha za vibaka wasio na kazi!

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…