Bunda: Kitimtimu cha Oparesheni 255 kimewaka, Lissu apokelewa kishujaa, Maelfu Wajitokeza

Bunda: Kitimtimu cha Oparesheni 255 kimewaka, Lissu apokelewa kishujaa, Maelfu Wajitokeza

Mnaangalia ujazo wa hadhara. Uchaguzi mipango ndiposa mtaanza kulia lia oooh tumeibiwa.
mnajipa matumain ambayo hamna subirin 2025 huyo mama yenu aibe uchaguz kama hamjamzungusha juani akiwa haongei huku akinuka uozo. Narudia tena na mnielewe nyie makuwadi ya warabu dpworld kwamba huyo mamayenu akiiba uchaguz lazima afe mtake msitake.
 
mnajipa matumain ambayo hamna subirin 2025 huyo mama yenu aibe uchaguz kama hamjamzungusha juani akiwa haongei huku akinuka uozo. Narudia tena na mnielewe nyie makuwadi ya warabu dpworld kwamba huyo mamayenu akiiba uchaguz lazima afe mtake msitake.
Mbona hasira. Tulia utashuhudia muda ukifika
 
Ila Mungu ni fundi ameumba wajinga wengi hapa Duniani Ili kuwezesha wachache watawale,wengi wao hapo ni maskini wa kutupwa na wanaamini eti kina Lisu na Chadema or any political party ndio itawaletea ugali mezani 😂😂

Mwisho wakawaulize jirani zao hustlers hapo Kenya kama Ruto amewaletea Neema.

Mda wa kupoteza Kwa Wanasiasa ambao wanatafuta Kuendesha maisha Yao Kwa kutumia siasa ila wanakufanya wewe mjinga kuwa ngazi Yao Sina.
Wewe na makuwadi wenzio ya warabu mmegeuzwa ngaz na akina chongolo,jerry slaa na kitila mkumbo huku wao wakiteuliwa uwaziri na kula ruzuku za wabunge fake ila wewe na nguruwe wenzio mnaofugwa huko ccm mmebaki kubwabwa jf kama chizi limeona jalala jipya.
By the way mwambien mamayenu arudishe hela alizohongwa na warabu dpword kwa hiari asipofanya hivyo zitamtokea kila tundu la mwili wake.
 
Niwe na hasira na makuwadi ya warabu dpworld, nasema mtanyooka tu huku kanda ya ziwa mamayenu hapati kitu mwambien ajiandae kukimbilia kwa mabwana zake Dubai.
Utaharibu siku yako bure, ujumbe ndio huo CCM ushindi daima
 
Ila Mungu ni fundi ameumba wajinga wengi hapa Duniani Ili kuwezesha wachache watawale,wengi wao hapo ni maskini wa kutupwa na wanaamini eti kina Lisu na Chadema or any political party ndio itawaletea ugali mezani 😂😂

Mwisho wakawaulize jirani zao hustlers hapo Kenya kama Ruto amewaletea Neema.

Mda wa kupoteza Kwa Wanasiasa ambao wanatafuta Kuendesha maisha Yao Kwa kutumia siasa ila wanakufanya wewe mjinga kuwa ngazi Yao Sina.
Ni kawaida sana kwa Masikini kuwaza kula tu
 
Hakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .

Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .

Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Hata wazuie vitu vya mafuta Musoma visiuzi mafuta lkn hapa musoma mjini tayari tupo na ni nyomi hakuna kurudi nyuma!
 
Ili tuendelee tunahitaji ardhi, watu(wenye akili nzuri), siasa safi na uongozi Bora.
Ardhi (tunayo kubwa, ila tunaanza kugawa kwa kukosa/kupuungua hivi vitatu vingine).
Watu (tunao wenye akili nzuri wachache).
Siasa safi (hapo, siasa yahitaji uboreshaji).
Uongozi bora (ni changamoto kwa sababu ya ukosefu wa siasa safi).
Tunatakiwa kuboresha siasa (kwa kutumia watu wachache wenye akili nzuri), tutapata uongozi bora ambao utaweka mikakati ya kuboresha na kuongeza idadi ya watu wenye akili nzuri.
Mkuu 'lebabu', ukitaka kunipeleka huko, nitaandika kitabu kizima.
Hii nchi tusipokuwa waangalifu, tukaendelea kuwepo na uongozi kama huu tulionao chini ya Samia anayeamini kila kitu tutegemee watu toka nje waje hapa kututia akili vichwani, hatutaenda popote.

Huyu mama ametia sumu zaidi ya kiongozi yeyote tuliyewahi kuwa nayo, kwa uamini kwamba tunaweza kufanya mambo mengi sana ya kujiendeleza wenyewe.
Hii haina maana hatutavutia uwekezaji; lakini daima lengo la uongozi ni kujenga uwezo wa ndani ya nchi na kuwajengea uwezo wananchi kuleta maendeleo yao wenyewe.

Magufuli ni mfano mzuri wa hivi karibuni, wa kiongozi mwenye "uthubutu" wa kuamini uwezo wetu. Angetulizana vizuri na kuacha yale matakataka yake mengine, nchi hii ingebadilika haraka sana.

Huyu Samia, ni kinyume kabisa na kila kitu walichojaribu kufanya watangulizi wake wote.
Huyu ni mwangamizi wa taifa.
 
Kwahio CHADEMA waanze kuwalipa mishahara ama?
EEEeeehHeeeee!

Mkuu 'Extrovert', naona leo nimekuchokoza, na kugusa eneo la ubongo wako, ambalo hukuzuia kuacha 'comment' yoyote kwenye mengi ambayo huyaandika humu, na ambayo eneo jingine la ubongo huo huo hushindwa kujizuia kuacha 'like'.

Kuhusu hilo swali ulilouliza, ngoja pia nikujibu kwa swali jingine: Hivi ni CCM ndio huwalipa hao watu mishahara?

Najua utasema ni serikali ya CCM. Sasa itakuwa vipi Serikali ya CHADEMA ishindwe kuwalipa mishahara?

Lakini, isiwe rahisi kihivyo, hali ni 'complicated' kidogo ya hapo.

Hawa wote polisi, mahakama, Tume ya uchaguzi; hawa wote ni waTanzania na ninaamini hata wao wanaipenda nchi yao, licha ya kupenda maslahi wanayopewa na serikali na CCM yenyewe.
Kinachotakiwa hapa, ni CHADEMA kuonyesha kwamba maslahi ya nchi na HAKI katika jamii ni muhimu sana kwa kila mmoja wetu. Yanayofanywa na CCM wakati huu siyo mambo ambayo hata hawa yanawapendeza.
Ni kazi ya CHADEMA kutafuta njia za kuwatuliza hawa, na hata wale vichwa ngumu walioko huko kuwashughulikia ipasavyo. Baada ya hapo, WATAACHIA TU wenyewe.
 
Mkuu 'lebabu', ukitaka kunipeleka huko, nitaandika kitabu kizima.
Hii nchi tusipokuwa waangalifu, tukaendelea kuwepo na uongozi kama huu tulionao chini ya Samia anayeamini kila kitu tutegemee watu toka nje waje hapa kututia akili vichwani, hatutaenda popote.

Huyu mama ametia sumu zaidi ya kiongozi yeyote tuliyewahi kuwa nayo, kwa uamini kwamba tunaweza kufanya mambo mengi sana ya kujiendeleza wenyewe.
Hii haina maana hatutavutia uwekezaji; lakini daima lengo la uongozi ni kujenga uwezo wa ndani ya nchi na kuwajengea uwezo wananchi kuleta maendeleo yao wenyewe.

Magufuli ni mfano mzuri wa hivi karibuni, wa kiongozi mwenye "uthubutu" wa kuamini uwezo wetu. Angetulizana vizuri na kuacha yale matakataka yake mengine, nchi hii ingebadilika haraka sana.

Huyu Samia, ni kinyume kabisa na kila kitu walichojaribu kufanya watangulizi wake wote.
Huyu ni mwangamizi wa taifa.
Pamoja na lawama zote kumwendea Rais, kwa nini tuwe na fikra za kutegemea akili ya mtu mmoja?
Cha ajabu kabisa, viongozi karibia wote ni wale wale waliokuwa na Magufuli. Tunaelekea wapi kama taifa?
 
Safi sana Mkuu lkn,wasiwasi wangu ni kwamba ccm hawategemei kura zetu sisi wananchi.Tegemeo la ccm ni mahakama,jeshi la polisi na tume ya Taifa ya uchaguzi.
monde arabe, ondoa huo wasiwasi,ondoa mashaka. Ubaya wa juzi au jana, ulishapita. Ya kesho ni mapya..

Mungu yupo pamoja na Watanganyika..

Kama ilivyokuwa kwa wana wa Israel waliokuwa utumwani Misri kwa miaka mingi, wakiteswa na kufanyishwa kazi nzito nzito na Mfalme Farao na serikali yake na walipomlilia na kumuomba Mungu wa mbinguni awaokoe...

Kilio chao kilisikika mbinguni na Mungu mwenyewe akiwa ktk sura ya binadamu aitwaye "Mtume MUSA" alishuka na kuja kuwakomboa na kuwarudisha wana wa Israel na Kila kitu chao ktk nchi yao ya urithi wa asili - Kanaani..

Watanganyika tunarudi ktk nchi yetu ya asili. Acha kuwaza na kufikiria mambo ya zamani na kukwamisha kesho yako..

Usidhani kuwa ya kesho inaweza kuwa kama Jana au juzi...

Ondoa wasiwasi. Farao wa leo Yuko under control. Amini tu...
 
Pamoja na lawama zote kumwendea Rais, kwa nini tuwe na fikra za kutegemea akili ya mtu mmoja?
Cha ajabu kabisa, viongozi karibia wote ni wale wale waliokuwa na Magufuli. Tunaelekea wapi kama taifa?
Umegusa patamu sana hapo.
Kwa sababu Rais huyo huyo, ndiye 'mungu' wa hao wote ambao umewataja hapo. Uwepo wao kwenye nafasi yoyote ile ni kwa hisani ya 'mungu' huyo huyo.
Hii ni hitilafu kubwa sana iliyoingia vichwani mwa wananchi wetu.

Wewe angalia tu, humu JF, watu wanashangilia uteuzi wa mawaziri?

Kuteuliwa sasa kwa nafasi yoyote ile kumekuwa kama ni zawadi kubwa sana inayotolewa kwa wahusika?

Mimi sijui hili limeingiaingiaje vichwani mwa wananchi hawa.

EeenHeeee, umemtaja tena Magufuli na hao viongozi wake, akina Kabuti Kalamaganda, tuliokuwa tunawaona wakijivimbisha vifua kwa 'UZALENDO' wa kuigiza!
Magufuli kafa, na uzalendo wao ukayeyuka.

Inasikitisha sana kuwa na watu wa namna hii.

Lakini yote haya, naomba unielewe vizuri ninakolenga mimi.
Kama pale juu, kwenye kiti cha Rais, tungebahatisha kumpata mzalendo kwelikweli, anayejali maslahi ya nchi hii na watu wake; hawa wote wanaoigiza wangetumika hivyo hivyo na kuleta mabadiliko makubwa ndani ya nchi yetu.

Kwa hiyo, jambo muhimu sana kuliko yote, ni mtu anayekaa pale kwenye ile nafasi muhimu sana.
Tunapopata viongozi kama huyu mama, kila kitu kinasambaratika, na hao hao mawaziri wa kuigiza kila kitu wanakuwa kama vikaragosi wa huyo aliyewateua..
Hatuwezi kwenda popote kama nchi na uongozi wa namna hiyo.
 
EEEeeehHeeeee!

Mkuu 'Extrovert', naona leo nimekuchokoza, na kugusa eneo la ubongo wako, ambalo hukuzuia kuacha 'comment' yoyote kwenye mengi ambayo huyaandika humu, na ambayo eneo jingine la ubongo huo huo hushindwa kujizuia kuacha 'like'.

Kuhusu hilo swali ulilouliza, ngoja pia nikujibu kwa swali jingine: Hivi ni CCM ndio huwalipa hao watu mishahara?

Najua utasema ni serikali ya CCM. Sasa itakuwa vipi Serikali ya CHADEMA ishindwe kuwalipa mishahara?

Lakini, isiwe rahisi kihivyo, hali ni 'complicated' kidogo ya hapo.

Hawa wote polisi, mahakama, Tume ya uchaguzi; hawa wote ni waTanzania na ninaamini hata wao wanaipenda nchi yao, licha ya kupenda maslahi wanayopewa na serikali na CCM yenyewe.
Kinachotakiwa hapa, ni CHADEMA kuonyesha kwamba maslahi ya nchi na HAKI katika jamii ni muhimu sana kwa kila mmoja wetu. Yanayofanywa na CCM wakati huu siyo mambo ambayo hata hawa yanawapendeza.
Ni kazi ya CHADEMA kutafuta njia za kuwatuliza hawa, na hata wale vichwa ngumu walioko huko kuwashughulikia ipasavyo. Baada ya hapo, WATAACHIA TU wenyewe.
Sawa sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom