Bundi atua Msimbazi, msemaji wa Simba ndugu Ezekiel Kamwaga abwaga manyanga

Utoh mnateseka na nini pambaneni na timu yenu mnahangaika na Simba
 
Akili za utopolo ni kutafuta visa vya kijinga Kama hivi na kujifurahisha.

Kamwaga alikuwa msemaji wa mpito kwa miezi miwili tu. Kashamaliza muda wake kaagwa kwa heshima.

Unaleta uzi wa kipuuzi wa nini?
 
Akili za utopolo ni kutafuta visa vya kijinga Kama hivi na kujifurahisha.

Kamwaga alikuwa msemaji wa mpito kwa miezi miwili tu. Kashamaliza muda wake kaagwa kwa heshima.

Unaleta uzi wa kipuuzi wa nini?
"Msimu huu tumekamiwa sana,wanavunja wachezaji wetu"
 

Hivi inakuwaje mtu mzima unaamua kuwa muongo na mbaya zaidi utakuta wewe ni jinsia ya kiume.Baadhi ya Utopolo frustration za kukosa kombe misimu minne mfululizo zimewafanya akili zenu zimepungua kichwani[emoji3]
 
Hivi inakuwaje mtu mzima unaamua kuwa muongo na mbaya zaidi utakuta wewe ni jinsia ya kiume.Baadhi ya Utopolo frustration za kukosa kombe misimu minne mfululizo zimewafanya akili zenu zimepungua kichwani[emoji3]
Na bado,mtatia sana huruma msimu huu. Hii mpaka Samia atoke madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…