Bundi atua Msimbazi, msemaji wa Simba ndugu Ezekiel Kamwaga abwaga manyanga

Bundi atua Msimbazi, msemaji wa Simba ndugu Ezekiel Kamwaga abwaga manyanga

Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba, inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo.

Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo.

Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Stori ya kimalaya kabisa hii. Kamwaga alikuwa na mkataba wa miezi miwili tu na umekwisha,hivi watopolo mnatumia viungo gani vya miili yenu kufikiri?
 
Wewe unaona tupo imara? Jana lile goli la kagere yani watu tuliruka nusu tuvunje vitu tumekua na ukame wa magoli wewe unaona tuna maisha marefu kweli, ngoja muda ndiyo utaamua

Sent using Jamii Forums mobile app



kaka mechi mbili
presha ishakupanda.. dah... kweli mashabiki wa soka Bongo... hapo hamjafungwa .. je mngefungwa... hebu kuwa shabiki wa soka na sio tu wa club.. huwez kushinda kila
mechi.. juve alikuwa bingwa mara tisa.. na msimu uliopita alichemsha..

liver alichukua UEFA na ligi msimu
uliofata akashindwa kutetea.. ila nauhakika ingekuwa Bongo Klop angeshafukuzwa
 
kaka mechi mbili
presha ishakupanda.. dah... kweli mashabiki wa soka Bongo... hapo hamjafungwa .. je mngefungwa... hebu kuwa shabiki wa soka na sio tu wa club.. huwez kushinda kila
mechi.. juve alikuwa bingwa mara tisa.. na msimu uliopita alichemsha..

liver alichukua UEFA na ligi msimu
uliofata akashindwa kutetea.. ila nauhakika ingekuwa Bongo Klop angeshafukuzwa

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sawa mkuu hayo ni maoni yako pia hayapingiki, kila mtu ana mahaba yake namna anavyoyachukulia kwenye soccer, ni kama mwanamke hatuwezi fanana kwenye kupenda mimi naweza mpenda hivi nikajiona nampenda na wewe unaweza mpenda kivingine ukaona unampenda zaidi yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba, inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo.

Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo.

Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Hili nafasi alikaimu kwa miezi miwili ,na mda wake umeisha ,usikurupuke mkuu
 
Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba, inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo.

Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo.

Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Mkuu ni kuwa Kamwaga hakuwa msemaji rasmi wa Simba yeye alikuwa msemaji wa muda tu. Kamwaga anaenda Uingereza kusoma.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Halafu uwe unasoma na kuelewa mimi wapi nimejitambulisha ni yanga utopolo soma ukaelewa, mimi sina ushabiki wa upofu nakemea yale yanayo hatarisha muenendo wa timu yangu, sasa wewe umejijaza upepo hujui hata unachobishinia mwishowe utajamba mbele za watu

Sent using Jamii Forums mobile app

Typical Utopolo
 
Back
Top Bottom