Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 458
alisema ni wale wasioona makunduleWe kashabikie kariobangi huko kenya mambo ya tz huyajui. Huyo Eze alikaimu kwa muda wa miezi 2 tu. Na amesema haongezi muda maana anaenda UK masomoni.. LUC EMELY alisemaga mashabiki wa .... ni......[emoji41][emoji41]
Alishawahi kuifundisha simba..?alisema ni wale wasioona makundule
Ishara za ukamee unazijua, ni sawa sawa upo jangwani umekaa siku30 bila maji ukaona maji hata machafu utakunywa tu, mjifunze kukubali tuko wadhaifu msimu mgumu huu kila timu imejiandaSasa ulitaka tusishangilie?
Nakuondoa rasmi kwenye kundi la mbumbumbu alilolisema RageIshara za ukamee unazijua, ni sawa sawa upo jangwani umekaa siku30 bila maji ukaona maji hata machafu utakunywa tu, mjifunze kukubali tuko wadhaifu msimu mgumu huu kila timu imejianda
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kuelewa naongelea tumekua na ukame sana wa magoli, nilifurahi sana ila mimi ni mshabiki ninae anagalia mbele mechi zijazo tuongeze magoli, lile goli lingerudishwa tungetoka sare shida baadhi mna mahaba yanayotia upofu, tukubali kuna maeneo bado simba hatujaimarika sasa shida nini tukijikosoaUlitaka goli lifungwe watu walie? We mshangiliaji na siyo mdau wa simba wala soka.
Wewe ndio kamwaga?Wewe ndio Mangungu?
Mimi ni MwamediWewe ndio kamwaga?
Kama wewe ndio mwamedi unatoaje taarifa ya kamwagaMimi ni Mwamedi
Kwani Mwamedi haruhusiwi kutoa taarifa?Kama wewe ndio mwamedi unatoaje taarifa ya kamwaga
Tena sana...Inasikitisha sana...
Unateseka ukiwa wapiLete takwimu hapa, Yanga na Mbumbumbu nani mwenye makombe mengi.
Hadi yale makombe mnaosemaga ya mbuzi mmeyajumuisha,kweli Simba akizidiwa hata magome ya miti anakula.
Shauri yako katoe mwiko huko nyumba nyani fcHadi yale makombe mnaosemaga ya mbuzi mmeyajumuisha,kweli Simba akizidiwa hata magome ya miti anakula.
Hahahaha Mwaka huu mtaokota makopo,ndio kwanza mna match mbili lakini akili zishawaruka tayari.