The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema
Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.
Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni
Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima
Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi
Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki
Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Tengeneza mambo ya nyumba yakoMara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema
Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.
Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni
Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima
Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi
Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki
Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
"au kuna Moto"! Kuna nyumba isiyo na moto!Hapo kwako kuna panya wengi au Kuna sehemu Ina mazingira wanayo penda bundi kuweka makazi hasa kwenye dari au kuna Moto au magofu.
Hawana madhara.
Wewe ni Ndege gani kwa sasa?Ndio unaweza ukawa bundi, njiwa, kunguru na ndege yoyote au kiumbe chochote unachotaka. Uchaguzi ni wako.
Sasa unamuuwa amekukosea nini? Ingekuwa amedhuru watu au anaweza kudhuru watu basi ingekuwa sawa ila bundi amekaa zake tu hana shida na wewe unamuuwa wa nini? Hebu acha imani za hovyo aisee .Unamaanisha no vibaya kuua bundi?
Mbona hawapo hospital ambapo kuna wagonjwa wengi?Hao ndege hunusa harufu ya maiti ama mtu mgonjwa aliekaribia kufariki...inawezekana kuna mgonjwa yupo mahututi eneo unaloishi..
Hizi ni imani za hovyo, yaani bundi kuunganishwa na imani za ajabu ajabu kuna watu kwao ni kawaida sanaa sasa yote haya umeyathibitisha vipi?Bro nimeshangaa avatar Yako imefanana na bundi, just have a look of it. Anyway, nilijua upo Wilayani vijijini huko kumbe upo katikati ya Jiji.
Hao bundi wa mujini wanaendana na mikosi na nuksi, na pia huenda one of your neighbours ana matunguri NA akishayatuma huko basi mida hii ndio yanarudi na bahati mbaya unakutana nayo.
Uzuri ni kwamba kwakuwa hawalii wapo silent basi hawana madhara kwako, ila mind you, siku wakianza kutoa ile milio yao itakuwa too late.
Ushauri : Anza kutafuta sehemu nyingine ya kuhamia, hapo ulipo kuna mambo mengi.
Bundi ni ndege wàstaarabu sana, hawakamati vifàranga kama kunguru. Wewe unataka kuwaua wamekukosea nini?Wataalamu wa ndege aina ya bundi naomba ushauri.
Je naweza tumia njia gani kuwaua hawa bundi kwa sumu?
What a Rubbish!Bro nimeshangaa avatar Yako imefanana na bundi, just have a look of it. Anyway, nilijua upo Wilayani vijijini huko kumbe upo katikati ya Jiji.
Hao bundi wa mujini wanaendana na mikosi na nuksi, na pia huenda one of your neighbours ana matunguri NA akishayatuma huko basi mida hii ndio yanarudi na bahati mbaya unakutana nayo.
Uzuri ni kwamba kwakuwa hawalii wapo silent basi hawana madhara kwako, ila mind you, siku wakianza kutoa ile milio yao itakuwa too late.
Ushauri : Anza kutafuta sehemu nyingine ya kuhamia, hapo ulipo kuna mambo mengi.
Typo error."au kuna Moto"! Kuna nyumba isiyo na moto!
Mwewe.Wewe ni Ndege gani kwa sasa?
Sawa mkuu.Typo error.
Dictionary ya simu imefanya word prediction.
Niliandika miti siyo moto ikabadili automatically kabla sija post.
Wamekusumbua? Au una lako?Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema
Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.
Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni
Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima
Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi
Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki
Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Huna hata manati?Wataalamu wa ndege aina ya bundi naomba ushauri.
Je naweza tumia njia gani kuwaua hawa bundi kwa sumu?
kwa asili mtu mweusi ni kiumbe mharibifu sana. muda wote ni fikra za alinacha tu.Punguza panya hapo kwako, viumbe vinatafuta chakula wewe unaleta hisia zako, sisima na Yesu, ishi na Yesu!