Bundi Nyumbani Kwangu

Bundi Nyumbani Kwangu

Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?

Hali ni ya kawaida sana wapo kwsnye harakati za kusaka mlo wao wa kila siku , ila kwa sababu umetilia shaka ngoja WASHIRIKINA waje wakuzidishie hofu ili uende kwa waganga ukapigwe pesa bure kisha uwe umefanya shirki halafu wakushauri udhuru ndege wasio na hatia yoyote .
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Tengeneza mambo ya nyumba yako
 
Bro nimeshangaa avatar Yako imefanana na bundi, just have a look of it. Anyway, nilijua upo Wilayani vijijini huko kumbe upo katikati ya Jiji.
Hao bundi wa mujini wanaendana na mikosi na nuksi, na pia huenda one of your neighbours ana matunguri NA akishayatuma huko basi mida hii ndio yanarudi na bahati mbaya unakutana nayo.
Uzuri ni kwamba kwakuwa hawalii wapo silent basi hawana madhara kwako, ila mind you, siku wakianza kutoa ile milio yao itakuwa too late.
Ushauri : Anza kutafuta sehemu nyingine ya kuhamia, hapo ulipo kuna mambo mengi.
Hizi ni imani za hovyo, yaani bundi kuunganishwa na imani za ajabu ajabu kuna watu kwao ni kawaida sanaa sasa yote haya umeyathibitisha vipi?
 
Bro nimeshangaa avatar Yako imefanana na bundi, just have a look of it. Anyway, nilijua upo Wilayani vijijini huko kumbe upo katikati ya Jiji.
Hao bundi wa mujini wanaendana na mikosi na nuksi, na pia huenda one of your neighbours ana matunguri NA akishayatuma huko basi mida hii ndio yanarudi na bahati mbaya unakutana nayo.
Uzuri ni kwamba kwakuwa hawalii wapo silent basi hawana madhara kwako, ila mind you, siku wakianza kutoa ile milio yao itakuwa too late.
Ushauri : Anza kutafuta sehemu nyingine ya kuhamia, hapo ulipo kuna mambo mengi.
What a Rubbish!

Achana na imani za hovyo kijana.
 
Hao wanatoa taarifa kwamba pengine kuna wanyama wanaowatumia wanapatikana kwako, au mitaani kwenu kuna mtu mgonjwa sana ambaye anaweza kufariki. Bundi wako sensitive sana kutambua seli zilizokufa.

Pia inaweza kuwa monitoring spirit, CCTV Camera ya kichawi inakufuatilia, sawa na wale mijusi wanaokaa ndani ya majumba yetu, nzi, buibui au mende. Kisha wanapeleka taarifa kwa aliyewatuma. Pia possible mtaani kwenu kuna ma master.

Spiritually uko strong, kwa kuwa kama ni bundi wa kichawi usingemuona
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Wamekusumbua? Au una lako?
 
Punguza panya hapo kwako, viumbe vinatafuta chakula wewe unaleta hisia zako, sisima na Yesu, ishi na Yesu!
 
Punguza panya hapo kwako, viumbe vinatafuta chakula wewe unaleta hisia zako, sisima na Yesu, ishi na Yesu!
kwa asili mtu mweusi ni kiumbe mharibifu sana. muda wote ni fikra za alinacha tu.

hii dunia tungekuwa weusi tu sijui ingekuwaje bila shaka tungeshaangamia wote kwa ujinga wa baadhi yetu.

sasa kiumbe kinapita zake kusaka mawindo jamaa anamaind na si ajabu tyr keshawauwa ao bundi wenyewe kaja apa kujiongelesha tu aone wajinga wenzake wangapi watamsapoti.

kuna nchi uko mambele awa ndege na wanyama wako huru ña zipo sheria kabisa za kuwalinda, wako peace sana na watu kiasi unaweza kukuta njiwa anatua hata mabegani kwa mtu bila hofu yyote.
 
Back
Top Bottom