Bundi wa Yanga SC wa Misimu Minne Iliyopita Amehamia Rasmi Msimbazi

Bundi wa Yanga SC wa Misimu Minne Iliyopita Amehamia Rasmi Msimbazi

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Simba SC imesajili wachezaji 11 lakini Sadio Kanoute pekee ndiye mwenye ITC.

Wahenga wanasema ubora ni kheri ya Idadi. Simba iliona ishindane na Yanga SC kwenye kusajili wachezaji wengi ili hali wakasahau kuwa wanapaswa kuendelea na pale walipoishia. Mwisho wa siku wakajipata pale walioishia Yanga SC msimu wa mwaka 2020/21.

Kulikuwa na haja gani kusajili wachezaji wote wale ili hali ni wachezaji wawili tu walio ondoka?

Kulikuwa na haja gani ya kuzingatia idadi kuiko ubora wa kikosi?

Kulikuwa na haja gani ya kununua wachezaji wa bei ndogo ndogo wengi na kuacha kuwekeza pesa kwenye wachezaji wachache kwa gharama hiyo hiyo?

Natambua kuwa viongozi wengi wanadhani kuwa wanaweza kupata wakina chama & miqqie kati ya hawa wengi walio sajiliwa. Je ni mkakati mzuri wa kuhakikisha unaboresha timu na kuwa consistance?

Kati ya wachezaji wote wapya 11 walio sajiliwa. Ni mchezaji mmoja tu (SADIO KANOUTE) ambaye amejihakikishia nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha Simba SC. Hao wengine wote wako sawa na akina' Jadon SANCHO.

Inaonekana wazi kuwa bundi wa Yanga SC wa misimu minne amehamia rasmi Mzimbazi. Maana kuna lundo kubwa sana la wachezaji walio avarage katika kikosi cha Simba msimu huu. Hii changamoto ilitusumbua sana wanajangwani mpaka sasa tumekwisha fikia hatua nzuri ya kuipatia dawa yake.

Sio kazi rahisi kuamini kuwa enzi zimefikia tamati, lakini muda utawasaidi kulitambua hilo.
 
Kwa hiyo waliosababisha simba ifungwe ni hao wachezaji wengi?

Soka haipo vile, muwe na akili za kiupembuzi siyo lawama tu. Transition ya kimfumo itaibadili simba na itaendelea kufanya vizuri.
 
Simba SC imesajili wachezaji 11 lakini Sadio Kanoute pekee ndiye mwenye ITC.

Wahenga wanasema ubora ni kheri ya Idadi. Simba iliona ishindane na Yanga SC kwenye kusajili wachezaji wengi ili hali wakasahau kuwa wanapaswa kuendelea na pale walipoishia. Mwisho wa siku wakajipata pale walioishia Yanga SC msimu wa mwaka 2020/21.

Kulikuwa na haja gani kusajili wachezaji wote wale ili hali ni wachezaji wawili tu walio ondoka?

Kulikuwa na haja gani ya kuzingatia idadi kuiko ubora wa kikosi?

Kulikuwa na haja gani ya kununua wachezaji wa bei ndogo ndogo wengi na kuacha kuwekeza pesa kwenye wachezaji wachache kwa gharama hiyo hiyo?

Natambua kuwa viongozi wengi wanadhani kuwa wanaweza kupata wakina chama & miqqie kati ya hawa wengi walio sajiliwa. Je ni mkakati mzuri wa kuhakikisha unaboresha timu na kuwa consistance?

Kati ya wachezaji wote wapya 11 walio sajiliwa. Ni mchezaji mmoja tu (SADIO KANOUTE) ambaye amejihakikishia nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha Simba SC. Hao wengine wote wako sawa na akina' Jadon SANCHO.

Inaonekana wazi kuwa bundi wa Yanga SC wa misimu minne amehamia rasmi Mzimbazi. Maana kuna lundo kubwa sana la wachezaji walio avarage katika kikosi cha Simba msimu huu. Hii changamoto ilitusumbua sana wanajangwani mpaka sasa tumekwisha fikia hatua nzuri ya kuipatia dawa yake.

Sio kazi rahisi kuamini kuwa enzi zimefikia tamati, lakini muda utawasaidi kulitambua hilo.
Bado mapema sana, juzi mmetolewa CAF CL leo kupata ngao ya jamii umesahau ubovu wa yanga unasema mmepata tiba ya tatizo?

Derby siyo mechi ya kujiona uko vizuri sana au mbaya sana.

Simba bado watafanya vizuri.
 
Simba SC imesajili wachezaji 11 lakini Sadio Kanoute pekee ndiye mwenye ITC.

Wahenga wanasema ubora ni kheri ya Idadi. Simba iliona ishindane na Yanga SC kwenye kusajili wachezaji wengi ili hali wakasahau kuwa wanapaswa kuendelea na pale walipoishia. Mwisho wa siku wakajipata pale walioishia Yanga SC msimu wa mwaka 2020/21.

Kulikuwa na haja gani kusajili wachezaji wote wale ili hali ni wachezaji wawili tu walio ondoka?

Kulikuwa na haja gani ya kuzingatia idadi kuiko ubora wa kikosi?

Kulikuwa na haja gani ya kununua wachezaji wa bei ndogo ndogo wengi na kuacha kuwekeza pesa kwenye wachezaji wachache kwa gharama hiyo hiyo?

Natambua kuwa viongozi wengi wanadhani kuwa wanaweza kupata wakina chama & miqqie kati ya hawa wengi walio sajiliwa. Je ni mkakati mzuri wa kuhakikisha unaboresha timu na kuwa consistance?

Kati ya wachezaji wote wapya 11 walio sajiliwa. Ni mchezaji mmoja tu (SADIO KANOUTE) ambaye amejihakikishia nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha Simba SC. Hao wengine wote wako sawa na akina' Jadon SANCHO.

Inaonekana wazi kuwa bundi wa Yanga SC wa misimu minne amehamia rasmi Mzimbazi. Maana kuna lundo kubwa sana la wachezaji walio avarage katika kikosi cha Simba msimu huu. Hii changamoto ilitusumbua sana wanajangwani mpaka sasa tumekwisha fikia hatua nzuri ya kuipatia dawa yake.

Sio kazi rahisi kuamini kuwa enzi zimefikia tamati, lakini muda utawasaidi kulitambua hilo.
kwani mshasqhau kama yanga ashatolewa CAF champions league
 
Kisa simba kufungwa na yanga mara hiyo bundi eti kahamia simba yani mmesahau kabisa kukosa kombe la maana miaka minne mfululizo,,, yani mmesahau kama juzi mmetolewa African champion league,,,, duh kweli nyie utopolo,,, kwani hao simba hawajawahi kufungwa na yanga na still bado bundi kubaki jangwani kipindi cha nyuma,,,
 
Kisa simba kufungwa na yanga mara hiyo bundi eti kahamia simba yani mmesahau kabisa kukosa kombe la maana miaka minne mfululizo,,, yani mmesahau kama juzi mmetolewa African champion league,,,, duh kweli nyie utopolo,,, kwani hao simba hawajawahi kufungwa na yanga na still bado bundi kubaki jangwani kipindi cha nyuma,,,
Baadhi ya wenzako washasoma alama za nyakati, muda si mrefu club bingwa mnachomoka na kombe la ligi mnalipoteza.
 
Hawa ni wajinga aisee [emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wa timu yao ni homa ya vipindi wakati Simba wanaonekana wana timu iliyo bora kabisa hata leo ni bahati tu haikuwa upande wa Simba tu otherwise leo tungekuwa tunaongea another thing
"Aliye Bora Anagonja Bahati"
 
Baadhi ya wenzako washasoma alama za nyakati, muda si mrefu club bingwa mnachomoka na kombe la ligi mnalipoteza.
Mwaka wa ngapi huo mnasema hivyo hivyo,,, baadhi ya wenzako pia bado hawana imani kwa kuwa huko nyuma huyo simba mlimfunga na ubingwa mkaukosa vile vile
 
Mwaka wa ngapi huo mnasema hivyo hivyo,,, baadhi ya wenzako pia bado hawana imani kwa kuwa huko nyuma huyo simba mlimfunga na ubingwa mkaukosa vile vile
Miaka minne ilichangiwa pia na harassment ya wafadhili wa club kupia Bashite, timu ilipitia wakati mgumu mpaka wachezaji wakawa wanashindia matikiti maji, nakumbuka mpaka Mwinyi Zahera akawa anailipia timu. Kwa sasa hayo hayapo ndio maana hakuna sababu ya kukosa imani.
 
Miaka minne ilichangiwa pia na harassment ya wafadhili wa club kupia Bashite, timu ilipitia wakati mgumu mpaka wachezaji wakawa wanashindia matikiti maji, nakumbuka mpaka Mwinyi Zahera akawa anailipia timu. Kwa sasa hayo hayapo ndio maana hakuna sababu ya kukosa imani.
Ubingwa wako ni kumfunga simba tu hizo zingine porojo,,, kwani GSM kaingia mwaka gani pale yanga mpaka leo hii useme timu ilikuwa haina hela,,, na huyo bashite kwani ye ndie aliyekuwa anamzuia sarpong asifunge magoli,,, mpira wote tumeangalia na wala yanga si kwamba kacheza mpira wa kutisha hivyo isipokuwa tukubali mpira ni magoli, na yanga waliscore
 
Back
Top Bottom