Bundi wa Yanga SC wa Misimu Minne Iliyopita Amehamia Rasmi Msimbazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Simba ilitengeneza nafasi nyingi ila ilishindwa kuzitumia, Mugalu hakua na siku nzuri. Yanga walitumia nafasi walioipata na si kingine. Sasa sijui kwanini Yanga wanaona Simba hajacheza chochote
Hii pia unasemaje Bado tu Mungu yupo na Yanga au?
 
Yaani ukishavimbiwa mbaazi unaandika chochote kinachokujia. Cha msingi tu unaisema Simba vibaya.
 
Watajua wenyewe na Mwamedi
Kimataifa Utopolo mtacheza mechi 4 na safari yenu ntafika tamati.

Zalan fc mtawafunga, halafu mtakutana na Al Hilal ya Sudan na safari inaishia hapo

Mnarudi bongo kujiita timu kubwa Afrika na mabingwa wa kihistoria.
 
Watajua wenyewe na Mwamedi
Kimataifa Utopolo mtacheza mechi 4 na safari yenu ntafika tamati.

Zalan fc mtawafunga, halafu mtakutana na Al Hilal ya Sudan na safari inaishia hapo

Mnarudi bongo kujiita timu kubwa Afrika na mabingwa wa kihistoria.
 
Watajua wenyewe na Mwamedi
Kimataifa Utopolo mtacheza mechi 4 na safari yenu ntafika tamati.

Zalan fc mtawafunga, halafu mtakutana na Al Hilal ya Sudan na safari inaishia hapo

Mnarudi bongo kujiita timu kubwa Afrika na mabingwa wa kihistoria.
 
Kimataifa Utopolo mtacheza mechi 4 na safari yenu ntafika tamati.

Zalan fc mtawafunga, halafu mtakutana na Al Hilal ya Sudan na safari inaishia hapo

Mnarudi bongo kujiita timu kubwa Afrika na mabingwa wa kihistoria.
Sawa mjukuu wa sheikh Yahya
 
Haya maandishi yanatuvua nguo watu wa mpira, tunaonekana wapenz wa mpira ni watu wasiokuwa na akili kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…