Bunge bila Kambi Rasmi ya Upinzani ni ukiukwaji wa Katiba

Bunge bila Kambi Rasmi ya Upinzani ni ukiukwaji wa Katiba

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau,

Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa.

Kwa mujibu wa katiba iliyopo bunge lazima liwe na Kambi Rasmi ya Upinzani, Mkuu wa Kambi, Mnadhimu Mkuu na Mawaziri Vivuli.
  • Tumeshuhudia Bunge lililopo halina Kambi Rasmi ya Upinzani
  • Halina Mnadhimu Mkuu
  • Halina Mawaziri Vivuli
  • Halina hotuba ya Kambi ya Upinzani
  • Halina hotuba za mawaziri vivuli sana sana tumeshuhudia lina wabunge 19 ambao hawana chama baada ya kufukuzwa na chama chao
Hayo ni maajabu ya Bunge na serikali inayojinasibu kufuata Utawala wa Sheria

Hiyo ndio nchi yetu!
 
Nani anaijali sheria na katiba?

Ingekuwa wanayajua hayo wasingekubali kupoteza fedha za umma kuwalipa Covid 19
 
Nchi ishakuwa ngumu mkuu pambania maisha yako tu
 
Wakulaumiwa ni Viongozi wa Upinzani kwa kutumia Jukwaa la siasa, wakati wa kampeni ya Uchaguzi Mkuu 2020, kumtukana hayati Magufuli badala ya kunadi Ilani zao za Uchaguzi zilizokuwa zimesheheni Sera mbadala za maendeleo na mikakati ya utekelezaji.

Kwenye kampeni hiyo upinzani ulishindana na kivuli cha Magufuli badala ya udhaifu wa Ilani za Uchaguzi za CCM na utekelezaji wake. Na bado kivuli hicho kinaendelea kutesa upinzani

Kwa jinsi Upinzani ulivyovuna ulichopanda 2020 ndivyo hivyo utavuna 2025 kama staili yao ya kuendesha siasa haubadiliki.

Tunahitaji upinzani wenye maslahi mapana ya Taifa na siyo maslahi ya viongozi wake kuingia madarakani. Viongozi watangulize UTAIFA (elimu, afya, maji, nishati, kulinda maliasili kwa faida ya nchi, uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa, nk) badala ya UMIMI (umaarufu, cheo, madaraka, nk)
 
Wakulaumiwa ni Viongozi wa Upinzani kwa kutumia Jukwaa la siasa, wakati wa kampeni ya Uchaguzi Mkuu 2020, kumtukana hayati Magufuli badala ya kunadi Ilani zao za Uchaguzi zilizokuwa zimesheheni Sera mbadala za maendeleo na mikakati ya utekelezaji.

Kwenye kampeni hiyo upinzani ulishindana na kivuli cha Magufuli badala ya udhaifu wa Ilani za Uchaguzi za CCM na utekelezaji wake. Na bado kivuli hicho kinaendelea kutesa upinzani

Kwa jinsi Upinzani ulivyovuna ulichopanda 2020 ndivyo hivyo utavuna 2025 kama staili yao ya kuendesha siasa haubadiliki.

Tunahitaji upinzani wenye maslahi mapana ya Taifa na siyo maslahi ya viongozi wake kuingia madarakani. Viongozi watangulize UTAIFA (elimu, afya, maji, nishati, kulinda maliasili kwa faida ya nchi, uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa, nk) badala ya UMIMI (umaarufu, cheo, madaraka, nk)
Ulichoandika siyo sahihi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wadau Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa
Kwa Mujibu wa Katiba iliyopo BUNGE lazima liwe na KAMBI RASMI ya UPINZANI,MKUU wa Kambi,MNADHIMI MKUU na MAWAZIRI Vivuli.

Tumeshuhudia BUNGE lililopo halina Kambi Rasmi ya UpinzanI,
Halina kiongozi wa hiyo KAMBI
Halina MNADHIMU MKUU
Halina MAWAZIRI Vivuli
Halina HOTUBA ya KAMBI ya UPINZANI
Halina HOTUBA za MAWAZIRI Vivuli sana sana tumeshuhudia lina WABUNGE 19 Ambao hawana CHAMA baada ya kufukuzwa na chama chao
Hayo ni MAAJABU ya BUNGE na SERIKALI inayojinasibu kufuata UTAWALA wa SHERIA
Hiyo ndio NCHI Yetu
Tulia, katiba itatumika uchumi ukitengemaa, hivi sasa hatuhitaji katiba.
 
Wakulaumiwa ni Viongozi wa Upinzani kwa kutumia Jukwaa la siasa, wakati wa kampeni ya Uchaguzi Mkuu 2020, kumtukana hayati Magufuli badala ya kunadi Ilani zao za Uchaguzi zilizokuwa zimesheheni Sera mbadala za maendeleo na mikakati ya utekelezaji.

Kwenye kampeni hiyo upinzani ulishindana na kivuli cha Magufuli badala ya udhaifu wa Ilani za Uchaguzi za CCM na utekelezaji wake. Na bado kivuli hicho kinaendelea kutesa upinzani

Kwa jinsi Upinzani ulivyovuna ulichopanda 2020 ndivyo hivyo utavuna 2025 kama staili yao ya kuendesha siasa haubadiliki.

Tunahitaji upinzani wenye maslahi mapana ya Taifa na siyo maslahi ya viongozi wake kuingia madarakani. Viongozi watangulize UTAIFA (elimu, afya, maji, nishati, kulinda maliasili kwa faida ya nchi, uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa, nk) badala ya UMIMI (umaarufu, cheo, madaraka, nk)
Zuzu mwingine huyu hapa.
 
Tulia, katiba itatumika uchumi ukitengemaa, hivi sasa hatuhitaji katiba.
Katiba mpya itapatikana mpende msipende kama mlivyokubali kuupitisha mfumo wa vyama vingi vya siasa hapa nchini.

Nyinyi dawa yenu ni ndogo sana .
 
Wakulaumiwa ni Viongozi wa Upinzani kwa kutumia Jukwaa la siasa, wakati wa kampeni ya Uchaguzi Mkuu 2020, kumtukana hayati Magufuli badala ya kunadi Ilani zao za Uchaguzi zilizokuwa zimesheheni Sera mbadala za maendeleo na mikakati ya utekelezaji.

Kwenye kampeni hiyo upinzani ulishindana na kivuli cha Magufuli badala ya udhaifu wa Ilani za Uchaguzi za CCM na utekelezaji wake. Na bado kivuli hicho kinaendelea kutesa upinzani

Kwa jinsi Upinzani ulivyovuna ulichopanda 2020 ndivyo hivyo utavuna 2025 kama staili yao ya kuendesha siasa haubadiliki.

Tunahitaji upinzani wenye maslahi mapana ya Taifa na siyo maslahi ya viongozi wake kuingia madarakani. Viongozi watangulize UTAIFA (elimu, afya, maji, nishati, kulinda maliasili kwa faida ya nchi, uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa, nk) badala ya UMIMI (umaarufu, cheo, madaraka, nk)
Wewe siku zote sijui kwanini huwa hauzishirikishi akili zako kabla ya kuanza kuandika mchamgo wako hapa jamvini.
 
wameacha kuhangaika na maendeleo sasa wameu upinzani wanakulana wenyewe watu wana fitiniana wanauana wanarogana ni mwendo wa kutafuta kula tu hakuna kingine
 
Huyo ni zaidi ya zuzu tulisha mdharau kitambo maana hana tofauti na kipara kipya na Wakudadavua
Yaani kila linalogusa kushauri upinzani, humu JF, linapata matusi au/na kejeli, kutoka kwa wafuasi, du!

Kwa mwenendo wenu huo kifkira, ni dhahiri upinzani una safari ndefu kufikia malengo yake.
 
Back
Top Bottom