Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tayari mtetezi wa legacy umepanic 😂Magaidi wako sero hatujawahi kuwa na wapinzani nchi hii
USSR
Akili Matope?Magaidi wako sero hatujawahi kuwa na wapinzani nchi hii
USSR
Katiba bado bado tuipe mudaWametukosea sana Watanzania.
Ni muda muafaka kuwa katiba mpya kuondoa sintofahamu hii