Tetesi: Bunge kupitia POAC, ingilieni NSSF inamufa

Tetesi: Bunge kupitia POAC, ingilieni NSSF inamufa

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Ni jambo lisiloeleweka kwanini Bunge kupitia kamati husika linashindwa kuichunguza na kuikagua NSSF ambayo kwa sasa ni mahututi. Kwa muda wa miaka miwili sasa NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu, inachofanya kwanza ni kukusanya michango ya walio kazini (hand to mouth) ili iweze kuwalipa wastaafu. Katika miaka hii miwili NSSF imekuwa ikitumia kisingizio cha uhakiki, kabla ya hapo ilikuwa ikitumia kisingizio cha shirika la POSTA kuchelewesha malipo, hata hivyo sasa ni NSSF ndio wenye jukumu la kutoa malipo lakini wanashindwa.
Haitakuwa jambo jema Bunge kusubiri mpaka lione NSSF imekufa, wakati ni huu kabla mamia ya wastaafu hawajaathirika.
 
Ni jambo lisiloeleweka kwanini Bunge kupitia kamati husika linashindwa kuichunguza na kuikagua NSSF ambayo kwa sasa ni mahututi. Kwa muda wa miaka miwili sasa NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu, inachofanya kwanza ni kukusanya michango ya walio kazini (hand to mouth) ili iweze kuwalipa wastaafu. Katika miaka hii miwili NSSF imekuwa ikitumia kisingizio cha uhakiki, kabla ya hapo ilikuwa ikitumia kisingizio cha shirika la POSTA kuchelewesha malipo, hata hivyo sasa ni NSSF ndio wenye jukumu la kutoa malipo lakini wanashindwa.
Haitakuwa jambo jema Bunge kusubiri mpaka lione NSSF imekufa, wakati ni huu kabla mamia ya wastaafu hawajaathirika.
Kuna ubabaishaji mwingi sana nssf nimekuwa mwanachama kwa miaka 19 sijawahi kufaidika na chochote kwenye mfuko huu. Nimepoteza ajira yangu sasa naangaika kupata fao la kukosa ajira kwa miezi minne nikusumbuliwa bila kupata chochote. Kila nikienda napangiwa tarehe ingine. Inauma sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela za wastaafu Ni nyingi kiasi cha wao kushindwa on time?
 
Ni jambo lisiloeleweka kwanini Bunge kupitia kamati husika linashindwa kuichunguza na kuikagua NSSF ambayo kwa sasa ni mahututi. Kwa muda wa miaka miwili sasa NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu, inachofanya kwanza ni kukusanya michango ya walio kazini (hand to mouth) ili iweze kuwalipa wastaafu. Katika miaka hii miwili NSSF imekuwa ikitumia kisingizio cha uhakiki, kabla ya hapo ilikuwa ikitumia kisingizio cha shirika la POSTA kuchelewesha malipo, hata hivyo sasa ni NSSF ndio wenye jukumu la kutoa malipo lakini wanashindwa.
Haitakuwa jambo jema Bunge kusubiri mpaka lione NSSF imekufa, wakati ni huu kabla mamia ya wastaafu hawajaathirika.
Nani kakuambia Tanzania kuna bunge?
Kile ni kijiwe cha wapumbavu wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kazi ya SSRA. Nafikiri hawa jamaa wa SSRA wanatakiwa kuendesha ukaguzi maalum wa jinsi NSSF wanavyolipa mafao hasa kwenye mikoa ya Dsm, Mwanza, Kagera, Morogoro, Tanga na Dodoma. Watagundua madudu mengi sana aisee. NSSF imeoza mikoani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo lisiloeleweka kwanini Bunge kupitia kamati husika linashindwa kuichunguza na kuikagua NSSF ambayo kwa sasa ni mahututi. Kwa muda wa miaka miwili sasa NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu, inachofanya kwanza ni kukusanya michango ya walio kazini (hand to mouth) ili iweze kuwalipa wastaafu. Katika miaka hii miwili NSSF imekuwa ikitumia kisingizio cha uhakiki, kabla ya hapo ilikuwa ikitumia kisingizio cha shirika la POSTA kuchelewesha malipo, hata hivyo sasa ni NSSF ndio wenye jukumu la kutoa malipo lakini wanashindwa.
Haitakuwa jambo jema Bunge kusubiri mpaka lione NSSF imekufa, wakati ni huu kabla mamia ya wastaafu hawajaathirika.
Serikali inahusika kwenye hili pia.Shirika limekopwa pesa nyingi kwa ajili ya miradi ya serikali.
Infact pesa za wastaafu zimechukuliwa na serikali kwa manufaa yake.
Juzi juzimkuu wa nchi alisema kuwa mashirika ya hifadhi ya jamii yameanzisha baadhi ya miradi isiyo na tija.Hilo Ni kweli,mfano Ni machinga complex.Hatua inabidi zichukuliwe lakini pia serikali katika kuyafirisi haya mashirika haikwepi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uchochezi, hii mifuko sasa imeimarika mara dufu baada ya kuunganisha mifuko. Tuandamane kupongeza hii mifuko kuimarika!
 
POOR INVESTMENT..ndo changamoto watu wamewekeza kwenye mawhite elephat iibao yapo tu..,nenda kigamboni kwe ule mradi unaweza lia..unaambiwa mradi pekee unaorudisha faida ni daraja...all in all hamna plan b tukubaliane na yote

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Wafanyakazi tushakufa mbona, nao wafe tu tujue tumekufa wote
 
POOR INVESTMENT..ndo changamoto watu wamewekeza kwenye mawhite elephat iibao yapo tu..,nenda kigamboni kwe ule mradi unaweza lia..unaambiwa mradi pekee unaorudisha faida ni daraja...all in all hamna plan b tukubaliane na yote

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
Hivi mnaposema mradi ule wa makaazi kigamboni ni white elephant kwani ulikuwa umekamilika na ukakosa wapangaji huko.

mbona haukuwa teyari ila ulisimamishwa kwa sababu sababu tu zisizoeleweka.

mi naona nssf wameyumba kutokana na kupigwa ban kwa miradi yao mingi hawamu hii na kupanguliwa kwa management yao..
 
Ntakujibu kwakua umejifafanua kabisa nawe ni mwana nssf......we mnaingia ubia na mtu ekali moja ananunua millioni moja anawauzia million 99 unaona sawa kabisa...kwa hili hata mi namsupport magufuri...mliwekeza kwa wadau mkijua nanyi mtapiga 10%
Hivi mnaposema mradi ule wa makaazi kigamboni ni white elephant kwani ulikuwa umekamilika na ukakosa wapangaji huko.

mbona haukuwa teyari ila ulisimamishwa kwa sababu sababu tu zisizoeleweka.

mi naona nssf wameyumba kutokana na kupigwa ban kwa miradi yao mingi hawamu hii na kupanguliwa kwa management yao..

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Back
Top Bottom