Tetesi: Bunge kupitia POAC, ingilieni NSSF inamufa

Tetesi: Bunge kupitia POAC, ingilieni NSSF inamufa

Bunge lipi liingilie NSSF wakati ni Wabunge hao hao ndo wanaliua shirika kwa kukopeshana na kutokulipa madeni? Shirika linakufa pia kwa uzembe wa aliyekuwa anajiita Mkurugenzi wa SSRA, alichokuwa anakijua ni kuwabana wanachama wa mifuko wasifaidike na siyo kuangalia madudu yanayofanywa na mifuko

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sababu ya SSRA kuisimamia NSSF kwani mfuko huo hauna senti ya serikali, zilizomo ni za wafanyakazi na waajiri, hivyo NSSF inatakiwa iwe mamlaka kamili.
 
Kama hawana hela wauze majengo yao wapate hela ya kulipa wastaafu wao.
Tena majengo na mali walizotumia za wastaafu au michango ya wafanyakazi...
Ila hawa NSSF ni wa ajabu sana, kujilipa mishahara minono, wakijilimbikizia majumba, magari na kuishi maisha ya kifahari kwa mgongo wa michango ya wenzao!
Wa ajabu sana...
 
Back
Top Bottom