Tetesi: Bunge kupitia POAC, ingilieni NSSF inamufa

Hakuna sababu ya SSRA kuisimamia NSSF kwani mfuko huo hauna senti ya serikali, zilizomo ni za wafanyakazi na waajiri, hivyo NSSF inatakiwa iwe mamlaka kamili.
 
Kama hawana hela wauze majengo yao wapate hela ya kulipa wastaafu wao.
Tena majengo na mali walizotumia za wastaafu au michango ya wafanyakazi...
Ila hawa NSSF ni wa ajabu sana, kujilipa mishahara minono, wakijilimbikizia majumba, magari na kuishi maisha ya kifahari kwa mgongo wa michango ya wenzao!
Wa ajabu sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…