Bunge lipi liingilie NSSF wakati ni Wabunge hao hao ndo wanaliua shirika kwa kukopeshana na kutokulipa madeni? Shirika linakufa pia kwa uzembe wa aliyekuwa anajiita Mkurugenzi wa SSRA, alichokuwa anakijua ni kuwabana wanachama wa mifuko wasifaidike na siyo kuangalia madudu yanayofanywa na mifuko
Sent using
Jamii Forums mobile app