Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

safi sana naona vijana wengi tunafatilia bajeti
nimefurahi kupunguzwa kodi ya mafuta may be haliitakuwa safi. vilevile naona bodi ya mikopo imeongezewa fungu basi watuongezee kakiwango ka mikopo maana mh maisha yako juuu sana
Usimcheke mamba kabla hujavuka mto, punguzo la kodi ya mafuta halijawekwa wazi mpaka sasa wamekusudia tu. Ningelifurahia kama wangelitamka wazi kwa kiwango gani wamepunguza hiyo kodi hivyo mie sioni cha kushangilia hapo.
 
Nchi imefikia pabaya:-


  1. Bajeti nzima matumizi ni TRIONI 13,
  2. Mapato ya Ndani ni TRIONI 6,
  3. Matumizi ya Kawaida Serikali ni TRIONI 8,
  4. Matumizi ya Maendeleo ni TRIONI 4

JE MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YATAWEZEKANA KWA BAJETI HII TEGEMEZI????

Bajeti tegemezi, na wabunge wetu wanapiga makofi kushangilia!! This is a joke
 
Kama hujaiona ni sawa naweza kukupatia copy ila nilichomaanisha magamba wame copy na nimewapongeza kwa kukubali ushauri, kukubali hawawezi na kuyafanyia kazi japo wamekosea kuweka bila ku edit kidogo mkuu
 

bajeti haijagusia ongezeko la mishahara ya wafanyakazi, inamaanisha kupunguzwa kwa kodi kwenye idara kadhaa ndio kutaleta tija kwa wafanyakazi?
 
Maisha bora yanawezekana kwa kuwapiga chini CCM na sera zao za magumashi
 
Mh. Mbowe amesema bajeti imezingatia maoni yaliyotolewa kwenye kamati na mikutano ya cdm, anasema kwa kiasi kikubwa italeta unafuu wa maisha kwa wananchi.
Anasema wanasubiri bajeti za Wizara kuona mipango ya utekelezaji ikoje.


In short: MBOWE AIUNGA MKONO BAJETI YA SERIKALI 2011/12.
 
Pesa ya matumizi trilioni 8 pesa ya maendeleo trilioni 3. Hapo kuna jipya!!1!
 
Wasomi wetu sijuwi wanafanya nini TUME YA MIPANGO NA HAZINA kila mwaka ni vyanzo vilevile tu, COPY AND PASTE
 
Bajeti tegemezi, wahisani wanatoa ngapi? Tujue 'umaskini huu, umaskini huu, umaskini huu utaisha lini ?'

Kila neno CCM likitajwa watu weweeeeee bungeni! Hahahah huu ni mwaka wa kufunga mikanda, mtera kima hichooooo 691. 07m.s.l tunasubiri ifike 690 m.s.l bwawa lifungwe...

makali ya mgao yanaathiri ajira,utalii maana hata shughuli za uzalishaji zinasimama,uwekezaji... na ukuaji wa uchumi, prices zitakuwa escalated sana...kwenye mgao wa 2006 unaulizwa je utakunywa soda ya baridi ya shs 400 au ya moto shs 200 yaani jamani tusipokarabati hili janga imekula kwetu!

Sasa TANESCO iagize diesel plants mnadhani tutafika? Bei ya mafuta juu! Hawatajiendesha kwa hasara, hiyo bei lazima abebeshwe mlaji hapo ndo mpaka mtu akikuambia anaoa unamwambia aahirishe!
 
Hee!..siyo mbongo?
Huu sasa ni uhuni,wanadisrespect mayanki wa kibongo wenye shule zao.
 
Hii nchi hadi itakapotawaliwa kijeshi ndio wawakilishi wa wananchi watawajibika.
 
 
nchi imefikia pabaya:-


  1. bajeti nzima matumizi ni trioni 13,
  2. mapato ya ndani ni trioni 6,
  3. matumizi ya kawaida serikali ni trioni 8,
  4. matumizi ya maendeleo ni trioni 4

je maisha bora kwa kila mtanzania yatawezekana kwa bajeti hii tegemezi????
maendeleo tanzania ni sawana hatua za mlezi moja mbele nne nyuma,pole tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…