Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

Haya umeme hapa umeshalaza alafu eti tuiuzie south africa umeme.hahahaha siasa bwana
 
Haaaaa!! Vijana wa Nape-ndwa mna kazi kweli kweli kama hizi ndo bongo zenu, CDM wana akiba kubwa mno na watu wenye uwezo wa mbinu mpya na kali zaidi, sio hizi za kuchungulia mwenzako kafanyaje bila kujua process na destiny yake, akijaribu tu kubadilisha formula, ooh! uko hoi bin taabini maana bongo iko kavu. CDM wamewapa 2+2 = 4 kesho chadema wakisema (2+2)2 = y, CCM na nyie vijana wa NAPE masikini sijui mtafanyaje na bongo zenu za kutafuniwa. Aloo! Nape na Magamba wenzake wana kazi kama hii ndo timu yake iliyotumwa JF. Lakini Njoo tu mtaelimishwa matokeo yake masikini Nape atabaki anajuta kwa nini aliwatuma kuja huka maana atwapoteza kwenye orodha yake mda si mrefu.

kazi ipo. Hata kazi ya upinzani katika serikali hujui. Sehemu mojawapo ni kuikosoa na kuishauri serikali. Hata wanafunzi huotea maswali na hatimaye kusema walijua mtihani utakuwaje. Matatizo ya nchi hata mtoto mdogo anajua. Chadema inachofanya inatoa pointi kwa ccm. Hilo bado hawajashitukia. Ukitoa mbinu ya mchezo wako na adui yako akawai kuutumia nani atapoteza game.
 
Kama kweli ni Mkenya basi ITV inabidi waombe msamaha! ESRF, REPOA, UDSM hakuna mtu?
Totally unacceptable!
 
kazi ipo. Hata kazi ya upinzani katika serikali hujui. Sehemu mojawapo ni kuikosoa na kuishauri serikali. Hata wanafunzi huotea maswali na hatimaye kusema walijua mtihani utakuwaje. Matatizo ya nchi hata mtoto mdogo anajua. Chadema inachofanya inatoa pointi kwa ccm. Hilo bado hawajashitukia. Ukitoa mbinu ya mchezo wako na adui yako akawai kuutumia nani atapoteza game.
<br />
<br />
Tatizo liko kwenye utekelezaji kaka,haijalishi wamecopy na kupaste kwa kiasi gani.issue ni je wata-implement hayo wanayoyasema? Je ni kwa kiasi gani matumizi ya kawaida yamepunguzwa kwendana na kauli ya Mh.Mkullo ya kupunguza posho na safari za nje na za ndani? Juzi tu wametoka kuambiwa kwamba watoke wasikae ofisini huko kutoka hakuongezi gharama kwa maana ya posho? Issue ni kutekelezeka kwa ahadi za wazee wa magamba!
 
Tatizo ni kujifanya wapo tofauti kumbe ndiyo wanaharibu kichizi.Hapo ITV wamechemka
 
Nchi imefikia pabaya:-

  1. Bajeti nzima matumizi ni TRIONI 13,
  2. Mapato ya Ndani ni TRIONI 6,
  3. Matumizi ya Kawaida Serikali ni TRIONI 8,
  4. Matumizi ya Maendeleo ni TRIONI 4
JE MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YATAWEZEKANA KWA BAJETI HII TEGEMEZI????

Hii ni hatari kwa sababu inamaanisha kuwa hata matumizi yetu ya kawaida tutategemea nje. Ni wakati sasa serikali ikatafuna aidha namna na kuhakikisha kwua tunaweza angalau ku-finance recurrent expenduture. Ni aibu sana kutegemea nje kwa matumizi ya kawaida. Ipo siku serikali inaweza kujikuta ikishindwa kulipa mishaha katika hali kama hii
 
Nimesikiliza wakilisho la bajeti nahisi ni kiini macho kwani sikuona yfuatayo;
  1. Uchumi wetu unakuwa kupitia sekta ambazo hazigusi maisha ya mtanzania wa kawaida (madini, utalii, uwekezaji wa nje-FDI)
  2. mipango ambayo inalenga kutoa kipaumbele kwa masikini ili kuinua maishao- pro poor approach
  3. Pungozo la kodi ya mafuta ili kupunguza spill over effects of price (multplier effects)
  4. Ni bajeti ya matajiri tu
  5. katika viwanda ambavyo ni soko kuu la bidhaa za kilimo haina bajeti
  6. Youth unemployment inazungumzwa kwa aina lip service mimi sikuona kama kuna concrete plans to address youth unemployment
  7. suala la uwajibikaji wa serikali halikutilia makazo
  8. Matumizi ya serikali bado ni makubwa mno
  9. tofauti mishahara miongoni ya watumishi
  10. Makusanya ya serikali ni chini kwa serikali ni tegemezi na bajeti ni tegemezi kwa hiyo kilichosomwa ni kama hakitatekelezwa kama shangazi hatatusaidia
  11. Hakuna mkakati wa kulinganisha matumizi na mapato ya serikali kuna tofauti kubwa sana
  12. Gharama zinazosadikika kupunguzwa hazitamkwi ni allawance za aina ipi na kwa kiasi gani
  13. Mafunzo ya ujuzi kuwafanya vijana waliomaliza chuo kikuu wajiajiri hakuna bajeti inagawa mfuko wa mikopo umeongezewa
Hii sio bajeti bali ni jukwaa la kisiasa kuwadanganya watanzania
 
Hapo ndio kwenye cancer utekelezaji tuu..
<br />
<br />
Tatizo liko kwenye utekelezaji kaka,haijalishi wamecopy na kupaste kwa kiasi gani.issue ni je wata-implement hayo wanayoyasema? Je ni kwa kiasi gani matumizi ya kawaida yamepunguzwa kwendana na kauli ya Mh.Mkullo ya kupunguza posho na safari za nje na za ndani? Juzi tu wametoka kuambiwa kwamba watoke wasikae ofisini huko kutoka hakuongezi gharama kwa maana ya posho? Issue ni kutekelezeka kwa ahadi za wazee wa magamba!
 
Wakati wa semina elekezi rais aliwahimiza viongozi kusafiri na kutokaa maofisini, sasa mbona wajichanganya? Kimsingi hizi ni porojo tu, sitegemei any changes
 
Katika hy tri 4 za maendeleo,nazo zinategemea msaada wa wahisani ili mambo yaende na cha ajabu kuliko yote,miundombinu wanataka tri 3. Na humo kuna barabara,reli,bandari na viwanja vya ndege.reli pekee inaitaji zaidi ya tri 1,hv hii nchi yangu inaenda wp jamani,yaani ni maajabu na cha kusikitisha zaidi,ccm wanapiga makofi.!!!this is the amazing.
 
Hivi hizi bajeti kila mwaka zinazomwa lakini kweli tunafuatilia kama zimeweza kukamilisha hata yale matumizi yaliyowekwa?.. Mathlan bajeti ya mwaka jana imefanikiwa kwa kiasi gani maanake imekuwa hulka ya Mdanganyika kupitisha bajeti kila mwaka wakati vitu (matunda)havionekani..
 
Wana JF mnaofuatilia bunge sasa ivi mmemsikia waziri wa fedha anavosoma budget..? anasema serekali itapunguza safari za viongozi njee na ndani ya nchi, watapunguza msafara na msururu wa wapambe kwenye safari ambazo ni za lazima, watapunguza posho za viongozi zisizo lazima etc, sasa kwanini usikubali chadema ndio inaongoza nchi hii..? afadhali magamba mmekubali mapungufu yenu na kuchukua ushauri wa wataalam wa uchumi wa chadema

Nadhani unaongelea habari ya Zitto hivi karibuni. Nikukumbushe/nikufahamishe, mpaka inasomwa leo bajeti ilikwishaandaliwa mapema kabla. Fikiria uwezekano wa Zitto kujua hizo taarifa kabla na kuamua "kuiagiza" serikali kama unavyoamini kunaweza kuwa na manufaa kiasi gani kisiasa? Only a matter of timing mkuu.
However, nothing bad comes out of that. Kama mbunge "amependekeza/ameshauri" jambo zuri na serikali ikatekeleza kumbe unaweza kusema serikali yako ni "sikivu"
A positive point in you lakini unajitahidi kuihasi ili pengine usije ukawachefua members. Kuwa huru zaidi mkuu...
 
Hivi hizi bajeti kila mwaka zinazomwa lakini kweli tunafuatilia kama zimeweza kukamilisha hata yale matumizi yaliyowekwa?.. Mathlan bajeti ya mwaka jana imefanikiwa kwa kiasi gani maanake imekuwa hulka ya Mdanganyika kupitisha bajeti kila mwaka wakati vitu (matunda)havionekani..

I second your opinion. Mimi huwa najiuliza unajuaje kitu ulicho-implement(if any) kimefanikiwa bila ku-evaluate? Hizi bajeti nyingine zilizopita ina maana kila kitu kilitekelezwa kilivyowekwa? Kama kuna mapungufu je tumeshayafanyia kazi ili kuepuka makosa kujirudia? Kuanzia nikiwa primary kila bajeti inatamka mambo mazuri mazuri yakumjali mkulima; lakini mpaka leo mkulima ni mtu masikini kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom