Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

zito ndio atakayesoma bajeti ya kambi ya upinzani, I trust the content is ok,
na sababu atasoma huyu geneus, i will be drinking my beer too sababu naamini
atafanya the best presentation, na wasiombe achukue political course katika
presentation yake He will blow them up
 
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
 
Namaanisha ccm wame copy na ku paste mapendekezo ya budget ya cdm lol
nzito ndio atakayesoma bajeti ya kambi ya upinzani, I trust the contest is ok,
na sababu atasoma huyu geneus, i will be drinking my beer too sababu naamini
atafanya the best presentation, na wasiombe achukue political course katika
presentation yake He will blow them up
 
Ndio kwata inayobidi waicheze,wananchi wanajua,....

Hivi mkullo alivosema kupunguza posho,yule Ndungai na mkuchika hawa
kuzimia?
 
Hakuna jipa naskia kukopa , kufadhliwa kwa serikali matrilion kibao

Usinichekeshe, ulitegemea uambiwe wataanzisha miradi itakayoongeza pato la Taifa.
Kukopa ni mradi wa wakubwa kwani wao ndo wanaofaidika na mikopo hiyo
 
Hivi kwa akili zenu mnashangilia? Hivi kataja viwango allowance hizo na idadi ya safari zitakazopungua? Kataja misafara ilikuwa na wapambe wangapi na sasa itakuwa na wangapi?
Nyie acheni bana usanii wa chama magamba mimi ndie naujua. Subirini muone! Nitawaletea facts za uongo wao hata kabla miezi minne haijaisha.
 
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!

Rekebisha kauli yako, kwa hiyo unamtukana hata mama yako? Au alifanya kosa kukuzaa!
 
Hahahaha na nyie magamba mko kama demu mwenye nyege zikimpanda anaparamia anayemuona, kwani nyie ccm hamkujua kuwa mnafuja hela kwa safari, wapambe, posho na ufisadi...? mmezoea ku copy na ku paste hamjui kutafuta njia mmbadala ya kumaliza tatizo bali kudandia tuu, itafikia siku chadema wakisema gamba kuu liende magogoni kwa bajaji au dala dala mtakubali tuu
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
 
Kati ya mikoa hiyo, Dar es Salaam unaongoza kwa kuwa na bajeti kubwa ya Sh 213.8 bilioni huku Lindi ukishika mkia kwa kuwa na bajeti ndogo ya Sh 56.0 bilioni.Mbali ya Dar es Salaam mingine iliyotengewa fedha nyingi ni Mwanza (Sh175.6 bilioni), Mbeya (Sh163.4 bilioni), Shinyanga (Sh141.3 bilioni) na Kilimanjaro wenye Sh138.0 bilioni.

Mikoa inayoungana na Lindi kwa kutengewa bajeti ndogo ni Rukwa Sh63.9 bilioni, Singida Sh63.8 bilioni, Mtwara Sh78.2 bilioni na Kigoma Sh72.3 bilioni.

Bajeti kwa mikoa yote hiyo 21 ya Tanzania Bara ni kiasi cha Sh2.3 trilioni.

HAPA HII MIKOA ILIYO NYUMA...SERIKALI ILIWAHI KUTAMKA KUWA ITAPEWA KIPAUMBELE....(kivitendo imepewa KIPAUNYUMA)
 
Basi Cahdema wapewe nchi matumalizie na Ufisadi naona kwa hili CCM wamefeli, Chadema ichukuwe nchi sasa ili mikataba ya kijinga ikomeshwa na mafisadi kama chenge Nimrod, Lowassa na Rostam wakanye debe.
 
Hahahaha na nyie magamba mko kama demu mwenye nyege zikimpanda anaparamia anayemuona, kwani nyie ccm hamkujua kuwa mnafuja hela kwa safari, wapambe, posho na ufisadi...? mmezoea ku copy na ku paste hamjui kutafuta njia mmbadala ya kumaliza tatizo bali kudandia tuu, itafikia siku chadema wakisema gamba kuu liende magogoni kwa bajaji au dala dala mtakubali tuu

Mkuu bora umemjibu huyo John Marwa
Maana nilitaka kumpa jibu ambalo naamini ningepigwa maisha!
 
kazi ipo. Hata kazi ya upinzani katika serikali hujui. Sehemu mojawapo ni kuikosoa na kuishauri serikali. Hata wanafunzi huotea maswali na hatimaye kusema walijua mtihani utakuwaje. Matatizo ya nchi hata mtoto mdogo anajua. Chadema inachofanya inatoa pointi kwa ccm. Hilo bado hawajashitukia. Ukitoa mbinu ya mchezo wako na adui yako akawai kuutumia nani atapoteza game.
 
Hapo nimetilia shaka kuwa ni changa la macho maana ahadi za uchaguzi bado, wanaongeza nyingine tuu haya gamba kuu amesema tutakuwa na umeme mwingi eti tuiuzie south africa hahahaha siasa za bongo bana unamdanganya mtu mpaka anajua
Hivi kwa akili zenu mnashangilia? Hivi kataja viwango allowance hizo na idadi ya safari zitakazopungua? Kataja misafara ilikuwa na wapambe wangapi na sasa itakuwa na wangapi?
Nyie acheni bana usanii wa chama magamba mimi ndie naujua. Subirini muone! Nitawaletea facts za uongo wao hata kabla miezi minne haijaisha.
 
Back
Top Bottom