Bajeti ya Serikali 2011/2012 hii hapa
mpaka leo watu wanakunya kwenye
vichaka na ni 2011 bajeti munagawa nyinyi
na kuwawacha wanyonge wakiendeleya kutabika
serekali ya tanganyika huyu jamaa anahitaji
choo kama hichi wacheni kuiba pesa wapeni
wananchi na wao wawe na maisha mazuri
kama mulivyo nyinyi
watu wana picha zake badala ya faida yake
watu wana picha yake badala ya faida zake
watu kama sisi ndio wenye haki ya bajeti hiyo
iwafikiye watu kama hawa maana unaonyesha kuwa umefurahi
mpaka jino la mwisho maana ushajuwa chako ni ngapi ila
watu kama sisi hivi ndio viatu sasa na nyinyi habari hamuna
hili ndio daraja pesa zote munazo gawana ktk bajeti mumeshindwa
kuwajengeya madaraja ktk nchi
hichi ndio choo na bafu pia watu wanaoga humu humu bajeti
itafika lini kwa watu kama hawa nyinyi munaendeleya tu kugawana
wananchi pia wanataka kuwa na vyoo na bafu la kuogea kama haya
ambayo yamo ndani ya nyumba zenu mulizo jenga kwa jasho la
walipa kodi masikini
Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo akiwaonesha wapigapicha na waandishi wa habari mkoba uliona nyaraka za Bajeti ya Fedha ya Serikali kwa mwaka 2011/2012 baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo ikiwa ni muda mfupi kabla ya kuingia Bungeni kusoma Bajeti hiyo.
umesahau ulipokuja kutuomba kura ukasema
utatujengea na tutakuwa na maisha mazuri vipi
mbona unatukana na bajeti haitufiki au ndio umepata
kura na sisi ndio tumeruka patupu maana hii ni miaka
mitano ya mwisho na sisi bado tunaishi kwenye vibanda
ulivyokuja kutuomba kura mpaka leo bado tumo humu humu
mpaka tunakuomba na bado unawambiya nchi za ulaya
tunaishi maisha mazuri na unashaga kama hujuwi kama tunalal na njaa
usiwaonyeshe wapiga picha waonyeshe wananchi wa tanganyika
ndio wanao uhitaji sio wapiga picha
Mkoaba wa Bajeti ya Serikali 2011/2012.
tumechoka kunywa maji machafu bajeti naije huku mara hii
bajeti..? bajeti..? bajeti..?
ndio ukubwa huwo mwanangu sukuma sukuma bajeti
sisi haitufiki wanakula wenye kwa wanyewe tu sukuma sukuma
labda mwaka huu bajeti ikija na mimi sitouza tena machungwa
nita nunuwa nyumba na dala dala
nyinyi pigeni picha mimi nasubiri bajeti ili na mimi
nipate pesa za kununuwa nguwo sina kitu msela
hatuna hata gari ya kutu bebeya matofali tunayotaka kujenge nyumba
mustafa mkulo bajeti ilete huku tuchibiwe misingi ya
kupitiya maji machafu na mataka taka