Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

Makonda anawashauri vijana waachane na siasa, kwa hiyo yeye anawashauri tu wengine na wapambe wake wanataka yeye abaki kwenye siasa?
 
Kafulila Mwamba sana ni haki awepo Bungeni 2025
 
Mabingwa wa kujipendekeza
 
Your browser is not able to display this video.
 
Wewe naye mzazi wako anakaa kwa wenzie anajisifu kuwa alisomesha?
 
Hao niliyowataja ni miamba kwelikweli.angalia namna Chuma Mheshimiwa Kafulila alivyokuwa akilitikisa bunge kwa hoja Nzito nzito.Muangalie pia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda katika Bunge maalumu la katiba.
Hivi zaidi ya Makonda kumpiga mzee Warioba kulikuwa na kipi alichafanya cha maana?
 
Mwehu wewe
 
Hongera sana Rais Samia kwa kutoa fursa kwa vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…