Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Chain gani hiyo unaongelea wakati huo ndio ukweli wewe tupe ushahidi tofauti na huo.

Itakuwa huelewi kwani unapokea kama unavyopokea maneno ya watu wa mitaani wa Marko , Yohana , Mathayo, na luka wa mchongo
 
Acha uongo wewe, hakuna aliyeweka chupi begani, alitoroka akaacha shuka.

You're quoting a bible verse that is completely irrelevant to the subject in discussion something that shows that your thinking capacity is very low.

Ulitaka nikuwekee biblia yako ya Queen james version ?? si ndio nimekuwekea hapo , kelele za nini ??
 
Wewe unaweza kuruhusu Binti yako wa Umri huo akaolewa??

Ndoa zenyewe hizi ambazo Mume anaweza kumtaliki Mkewe hata baada ya kumharibia maisha yake
Hapa nilpo Sheria za nchi haziruhusu. Lakini kama zingekua zinaruhusu na binti ameshavunja ungo na vigezo na masharti yatakua yametimizwa, why not?
 
Kwan alioa 9yrs? Ya sasa hivi. Maana ulivyo bumunda utasema alikua 9yrs na though hakumla ilingia kwa uweza wa Mungu baba
Kwahiyo unataka kuniambia muda wote walikuja kwenye love story tu?
 
9yrs ya kabla ya kristo unaijua urefu wake kwa sasa ni miaka mingapi ..? 😁😁😁
Kipimo Cha miaka ni miaka tu kama ilivyo kilo hakuna kilo ya saruji ikawa na uzito mkubwa kuliko ya Sufi.
Au walikua wanaishi Jupiter? kama ni same planet na kipimo ni jua/mwezi basi hakuna tofauti.
 
Si ndio mkawa mnaowana wanaume kwa wanaume na kuolewa na farasi kumbe Yesu kaondowa sheria ? Kumbe kuzitimiza sheria ni kuziondowa? Paulo kawaroga ? Mbingu kumbe zimeshatoweka
Una ushahidi gani kama hao ni Wakristo ?
We jitahidi umnusuru Allah ili na yeye akunusu.
Ili wote muepuke moto wa Jehanam.
Usipo mnusuru Allah atakuja akulaumu siku ya kiyama.
يَا Ψ£ΩŽΩŠΩ‘ΩΩ‡ΩŽΨ§ Ψ§Ω„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠΩ†ΩŽ Ψ’Ω…ΩŽΩ†ΩΩˆΨ§ Ψ₯ِن ΨͺΩŽΩ†Ψ΅ΩΨ±ΩΩˆΨ§ Ψ§Ω„Ω„Ω‘ΩŽΩ‡ΩŽ ΩŠΩŽΩ†Ψ΅ΩΨ±Ω’ΩƒΩΩ…Ω’ ΩˆΩŽΩŠΩΨ«ΩŽΨ¨Ω‘ΩΨͺΩ’ Ψ£ΩŽΩ‚Ω’Ψ―ΩŽΨ§Ω…ΩŽΩƒΩΩ…Ω’
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
 

Kwani mkristo ni nani ?? yahovah witness , gay church , satanic church , pentecostal, batist , mkatoliki , Mormon , Lutheran ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Kipimo Cha miaka ni miaka tu kama ilivyo kilo hakuna kilo ya saruji ikawa na uzito mkubwa kuliko ya Sufi.
Au walikua wanaishi Jupiter? kama ni same planet na kipimo ni jua/mwezi basi hakuna tofauti.
Nenda tena ukasome
 
Ndio nani hao..😲😲😲
Hao unaosema walikuandikia habari za yule aliyeshikwa na kijana aliyeweka chupi begani akakimbia akiwa uchi huku chupi akiitupa
 
Hao unaosema walikuandikia habari za yule aliyeshikwa na kijana aliyeweka chupi begani akakimbia akiwa uchi huku chupi akiitupa
Siijui hiyo umeitoa wapi labda kwenye Quran.
 
Child abuse, imekaa kuibakaji oa tukupe miaka 30 jela
 
Kaka nina jirani swala tano lakini mganga wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…