Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Chain gani hiyo unaongelea wakati huo ndio ukweli wewe tupe ushahidi tofauti na huo.

Itakuwa huelewi kwani unapokea kama unavyopokea maneno ya watu wa mitaani wa Marko , Yohana , Mathayo, na luka wa mchongo
 
Acha uongo wewe, hakuna aliyeweka chupi begani, alitoroka akaacha shuka.

You're quoting a bible verse that is completely irrelevant to the subject in discussion something that shows that your thinking capacity is very low.

Ulitaka nikuwekee biblia yako ya Queen james version ?? si ndio nimekuwekea hapo , kelele za nini ??
 
Wewe unaweza kuruhusu Binti yako wa Umri huo akaolewa??

Ndoa zenyewe hizi ambazo Mume anaweza kumtaliki Mkewe hata baada ya kumharibia maisha yake
Hapa nilpo Sheria za nchi haziruhusu. Lakini kama zingekua zinaruhusu na binti ameshavunja ungo na vigezo na masharti yatakua yametimizwa, why not?
 
9yrs ya kabla ya kristo unaijua urefu wake kwa sasa ni miaka mingapi ..? 😁😁😁
Kipimo Cha miaka ni miaka tu kama ilivyo kilo hakuna kilo ya saruji ikawa na uzito mkubwa kuliko ya Sufi.
Au walikua wanaishi Jupiter? kama ni same planet na kipimo ni jua/mwezi basi hakuna tofauti.
 
Si ndio mkawa mnaowana wanaume kwa wanaume na kuolewa na farasi kumbe Yesu kaondowa sheria ? Kumbe kuzitimiza sheria ni kuziondowa? Paulo kawaroga ? Mbingu kumbe zimeshatoweka
Una ushahidi gani kama hao ni Wakristo ?
We jitahidi umnusuru Allah ili na yeye akunusu.
Ili wote muepuke moto wa Jehanam.
Usipo mnusuru Allah atakuja akulaumu siku ya kiyama.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
 
Una ushahidi gani kama hao ni Wakristo ?
We jitahidi umnusuru Allah ili na yeye akunusu.
Ili wote muepuke moto wa Jehanam.
Usipo mnusuru Allah atakuja akulaumu siku ya kiyama.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.

Kwani mkristo ni nani ?? yahovah witness , gay church , satanic church , pentecostal, batist , mkatoliki , Mormon , Lutheran ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Kipimo Cha miaka ni miaka tu kama ilivyo kilo hakuna kilo ya saruji ikawa na uzito mkubwa kuliko ya Sufi.
Au walikua wanaishi Jupiter? kama ni same planet na kipimo ni jua/mwezi basi hakuna tofauti.
Nenda tena ukasome
 
Hao unaosema walikuandikia habari za yule aliyeshikwa na kijana aliyeweka chupi begani akakimbia akiwa uchi huku chupi akiitupa
Siijui hiyo umeitoa wapi labda kwenye Quran.
 
Dini inasema mtoto wa kike akisha baleghe anafaa kuolewa wako wana baleghe miaka 9 wengine 13 wengine 18 kwa hio umri hauhusiku na kuolewa kinacho husika ni binti kuwa baleghe

Kuna lingine.

Oops hivi mama yake Yesu unajua aliposwa ana umri gani? Na alizaa ana umri gani najua wazi utaingia mtini 😄
Child abuse, imekaa kuibakaji oa tukupe miaka 30 jela
 
Uzinifu ni tabia ya mtu haihusiani na marafiki wala mitaa unayo tokea. Mimi namini wazi ukisali salaa 5 nyuma ya Imam mda wa mwezi tu, bila kumiss salaa moja basi shetani anakukimbia, na uzinifu au fitna zozote za shetani zinakukimbia.

Sio uwende kusali kwa kushow off.
Kaka nina jirani swala tano lakini mganga wa kienyeji
 
Back
Top Bottom