Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Mimi siozeshi binti yangu hata awe ana miaka 59 kama hataki kuolewa au hata miaka 80 au maisha yake yote huo ni ushauri wake yeye sio wangu.

America ni nani wewe bwege kwanza aondoe ujinga wa baba ku rape mabinti zake huko US au Europe kabla ya kuja kuwafundisha waislam lipi zuri na lipi baya.


Nyie wakristo wengi wenu mnarape ma binti zenu mkisha piga konyagi au pombe. Afu unasikia tu yule jirani ka rape binti zake afu jumapili anaenda nao kanisani kuimba kwaya haha afu mchezo unaendela kama kawaida.
Mnajifanya hamnywi pombe wakati mmeahidiwa bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
 
Sheria hiyo ikipita, baada ya muda mchache watapendekeza tena miaka ishushwe Hadi miaka 6.

Hii ndio miaka sahihi kutokana na dini yao na ilishapendekezwa na kufuata na mtume wao.
Na Afghanistan vitoto vya umri huo na chini yake vinaolewa tu na vibabu vikongwe.
Mtawatambua kwa matunda yao.
Religion of Pieces.
 
Kwa kuwa mabinti wanatofautiana umri wa kubalehe, angalau Sheria iseme Binti akibalehe ni ruhusa kuolewa. Lakini kusema miaka 9 jua ubakaji utatokea.
Isitoshe Biblia haisemi Maria alichumbiwa akiwa na umri Gani. Umri itakaotajwa ni assumptions tu kwa kuzingatia Hali ya mashariki ya Kati. Hivyo hakuna jibu.
Kwa hio Qur'an ndio ilisema Mtume Muhammad alimuoa Aisha ana umri wa miaka 9, mnaona vipi mnakwepa ya kwenu 😄
 
Miaka tisa?? Kweli??? Sa huo umri hicho kimke kinakufanyia nini masikini hata kupika chai tu kinaweza kweli....
 
Sasa mtoto wa miaka 9 tayari amevunja ungo?!
Wewe hivi unadhani binadamu wote wako sawa? Wako wengine wana umri wa miaka 9 itasema ana miaka 20 na kubaleghe pia vile vile. Hebu rudi shule ukasome wacha uvivu wakukimbia shule. Unaweza kuogota vitu vya mana.

If a girl starts menstruation at a young age, it's usually because the hormones in her body responsible for puberty are being produced earlier.

Wewe umeiona pia mili ya wa Iraq, utawafananisha na wagoni kama wewe.
 

Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Pia soma: Child marriage ban welcomed in Sierra Leone

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in Iraq.

The Economic Times
Wameamua kulipiza kisasi cha kuuawa kwa Heniye kwa style hiyo?. Ama kweli safari hii Israel watanyooka kudadeki.
Wakitaka Iraq asitishe hiyo sheria basi Israel iondoke Gaza
 
Ndugu zangu ktk Imani hichi ndio kitu tumejaaliwa na kufanikiwa kukifanya kwa usahihi 100%

Hakika I'm the proud to be the.....
 
Huyu mwarabu alileta Mila za hovyo sana afrika. Kana mamtu ya nayopatikana pembezoni mwa bahati ya Hindi ndio walipokea Mila hizo na wao kwa Sasa wanafikiri ni utamadini wao. Huo ni ubakaji maana lengi lao eti wake mabikira maana wanaona hata hao wa 15 tayari Sasa wamekuja kwa hivi vitoto kabisa. Hivi waamini wa Mila hizi wanaamini kabisa kuwa njia hiyo itawapeleka kwa Mungu wa kweli? Au ni Mungu wa mchongo?
 
Udenda unakutoka kabisa kuona mtoto wa 9 years? Wa miaka 18 tu wengine hatumtaki sababu bado ni mdogo kimwili na kiakili. Badilikeni ndugu.
Mimi na mke wangu sihitaji binti wa mtu huyu mke wangu nilipo muoa alikuwa na umri wa miaka 20 na mpaa tunazeka tuko pamoja labda mmoja afe ndio atabaki peke yake.

Afu mtu kutoa ushauri na kukubaliana na sheria si kwamba na yeye atafanya vile. Tatizo lenu waimba kwaya mnadhani kila kitu ni sex tu.

Nyie ndio wazinifu wakubwa afu mnajidai eti ndoa za kikristo hazivunjiki 😄 Kwa uwongo hamuwezekani nyie.

Bora Sisi waislam hatuzini nje ya ndoa sio nyie bar zote wazinifu ni wanaume wanao julikana ni wakristo na wake zao huko wanagawa kama peremende za baniani.
 
Mimi na mke wangu sihitaji binti wa mtu huyu mke wangu nilipo muoa alikuwa na umri wa miaka 20 na mpaa tunazeka tuko pamoja labda mmoja afe ndio atabaki peke yake.

Afu mtu kutoa ushauri na kukubaliana na sheria si kwamba na yeye atafanya vile. Tatizo lenu waimba kwaya mnadhani kila kitu ni sex tu.

Nyie ndio wazinifu wakubwa afu mnajidai eti ndoa za kikristo hazivunjiki 😄 Kwa uwongo hamuwezekani nyie.

Bora Sisi waislam hatuzini nje ya ndoa sio nyie bar zote wazinifu ni wanaume wanao julikana ni wakristo na wake zao huko wanagawa kama peremende za baniani.

Umetoa povu jingi ila hakuna point hata moja. Swali kuu hapa ni je wewe unakubaliana na mtoto wa miaka 9 aliyebalehe kuolewa? Wewe mwanao wa miaka 9 aliyepevuka utamuoza akija mchumba?
 
Bora Sisi waislam hatuzini nje ya ndoa sio nyie bar zote wazinifu ni wanaume wanao julikana ni wakristo na wake zao huko wanagawa kama peremende za baniani.

Halafu hapa jipige kifuani jiite mjinga mara tano
 
Wameona bikira hawapati Tena na Ili wazipate hakuna namna nni kupeleka muswaada wa Sheria bungeni.

Hadi unafika 2040 watabadirisha Tena na kuoa vichanga wa umri wa miaka4-5 hivi.naheshimu Imani za watu na comment yangu no kuguswalini.
 
Back
Top Bottom