Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9


Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in Iraq.

The Economic Times
Pia soma: Child marriage ban welcomed in Sierra Leone
F9DU5wmXgAA41NI.png
Screenshot_20240601-195510_Chrome.jpg
Screenshot_20240808-144318_Chrome.jpg
 
Mkiambiwa kanisani mnaenda kupiga kelele hamuelewi
Uislamu unajua ubora wa elimu kuliko dini yeyelote hile iwayo nandio maana hata aya ya Qur an yakwanza kabisa kuja kwa S.A.W akaambiwa asome kuonesha ukubwa na umuhimu wa elimu
Kuhusiana na ndoa mie sio awe na miaka 9 hata awe na miaka 50 ziswezi kumlazmisha kuozeshwa ama kuolewa
Akiamua kuolewa maadam kaamua mwenyewe ataolewa sio kwa kumlazmisha
Na akigoma kuolewa haijalishi ana miaka mingapi haolewi
Mwisho:-ndoa ni makubaliano ya hiyari baina ya muolewaji (ke) na muowaji(Me)
Nimesisitiza Muolewaji(Ke) na Muoaji (Me) sababu tumeona kuna ndoa za kijinga zinapigiwa debe na kufungishwa makanisani baina ya ke na ke na me na me mwenzie
Na waliofunga kwa kujificha wanahimizwa wajitokeze PAPA ameshaagiza ndoa hizo zibarikiwe na kanisa.. Nani kama PAPA muakilishi wa YESU hapa duniani?
 
Hivi wenzetu hawataki mabinti zetu wasome hadi kuwaoza katika umri huo wa miaka 9??

Hawataki wapatikane akina Mama Samia na Dr Tulia Acksoni wao hapo baadaye?? Ama Mama Kijo Bisimba wao

Na hao Wanaume wenzetu wanaooa vibinti vya miaka 9 ama 15 wanakuwa na Maumbile kama haya yetu ama wao Wana Maumbile yao special, maana si itakuwa Kila Siku mtoto wa watu analia Kwa maumivu mkiwa mnafurahia usiku wa Ndoa yenu??

Kweli kuishi kwingi kuona mengi 🙌
 
Hivi wenzetu hawataki mabinti zetu wasome hadi kuwaoza katika umri huo wa miaka 9??

Hawataki wapatikane akina Mama Samia na Dr Tulia Acksoni wao hapo baadaye?? Ama Mama Kijo Bisimba wao

Na hao Wanaume wenzetu wanaooa vibinti vya miaka 9 ama 15 wanakuwa na Maumbile kama haya yetu ama wao Wana Maumbile yao special, maana si itakuwa Kila Siku mtoto wa watu analia Kwa maumivu mkiwa mnafurahia usiku wa Ndoa yenu??

Kweli kuishi kwingi kuona mengi 🙌
Kwani ukiolewa huwezi kuendelea na masomo? . Tusiwe watumwa wa Sheria zinazotungwa na binaadamu.
 
Kwani ukiolewa huwezi kuendelea na masomo? . Tusiwe watumwa wa Sheria zinazotungwa na binaadamu.
Hivi unajua ukishaoa inabidi Binti aje aitumikie Ndoa yake??

Yaani nione halafu niishie kupiga punyeto as if Sina Mke?? Kulikuwa na haja gani ya Kuoa sasa
 
Hivi unajua ukishaoa inabidi Binti aje aitumikie Ndoa yake??

Yaani nione halafu niishie kupiga punyeto as if Sina Mke?? Kulikuwa na haja gani ya Kuoa sasa
Mimi sijajua ndoa inazuia vipi mwanandoa kuendelea na masomo yake. Nakumbuka miaka ya 1970's na mpaka katikati ya 80's upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA walikua wanaruhusu wanafunzi wa Primary na Secondary kua kwenye ndoa na kuendelea na masomo na hakukua na maajabu yoyote, walikuja kusitisha 1984 na kuwadhulumu haki Yao ya masomo ambayo wakati wanaingia kwenye ndoa ruhusa ilikuwepo.
SWALA ndoa kwa mwanafunzi linaonekana kama ni kitu cha ajabu kamavile kitu cha ajabu mwanafunzi wa Primary na Sekondari kuvaa nguo za nyumbani badala ya uniform.
 
Je uislamu unaruhusu mtoto wa kike wa miaka 9 kuolewa?
Kwanini hamkumuliza Mungu wenu Yesu kama mnavyo dai hilo swali, vipi mama yake bikira Maria alizao bado bikra? Na alikuwa ana miaka 9 tu.

Na kwanini msiulize bibilia zenu wakati Joseph ana miaka karibu 72 kamposa Maryam ana umri hata miaka 5 hajafika.

Mkisha pata jibu, mtapata na jibu je inafaa bint wa miaka 9 kuolewa.
 
Tunaongelea hao watoto wa kike wa miaka 9 kwanza wanakua hata hawajabalehe via vyao vya uzazi ndiokwanzaaaaaa bado viteke watawaharibu tu

Cc Smart911
Kwani muoaji lazima awe na mke mmoja kwamba hataweza kuzuia matamanio yake au umeambiwa hiyo Sheria ikipita basi lazima Binti akifikisha miaka 9 tu hapo hapo anaozeshwa kwa nguvu.
 
Kwanini hamkumuliza Mungu wenu Yesu kama mnavyo dai hilo swali, vipi mama yake bikira Maria alizao bado bikra? Na alikuwa ana miaka 9 tu.

Na kwanini msiulize bibilia zenu wakati Joseph ana miaka karibu 72 kamposa Maryam ana umri hata miaka 5 hajafika.

Mkisha pata jibu, mtapata na jibu je inafaa bint wa miaka 9 kuolewa.
Vyovyote vile utajua mwenyewe!
Point Yangu ipo katika umri mdogo kuwa hawajakomaa via vya uzazi pia are not matured enough to handle marriage issues!
Ni hatari na si salama kwao

Cc Smart911
 
Vyovyote vile utajua mwenyewe!
Point Yangu ipo katika umri mdogo kuwa hawajakomaa via vya uzazi pia are not matured enough to handle marriage issues!
Ni hatari na si salama kwao

Cc Smart911
Hebu nionyesheni nani Iraq kaolewa ana umri wa miaka 9? Mbona mnazunguka sana. Pia nimewauliza serekali ya Iraq wote ni waislam? Nimewauliza pia Iraq hakuna wabunge wakristo? Au Iraq wote ni waislam mbona hamjibu.

Pia nimewauliza kuongelea sio ndio kimekubalika, lakini huwa mkisikia nchi za kiarabu mnakuwa kama Paulo kutafuta uwongo 😄

Nilisha wajibu hata serekali ikileta sheria hailazimishi mtu kuozesha binti wake, mnaleta maneno mengi hasa nyie watu wa kanisani .
 
Sheria kandamiza sana hiyo .. Lakini ukirudi hapa kwetu unakuta muuza barafu mwenye miaka 30 anatembea na mtoto wa miaka 12🙄
 
Back
Top Bottom