Wewe ujue mjinga etiii..!!!Mimi mjinga sawa
Ila nikupe mfano mwepesi
Kenya mirungi ni halali ila
Tanzania ni halamu
Ila Tanzania nayo ikibadili sheria na kusema mirungi ni halali
Haita maanisha kuwa wa Tanzania tunatakiwa tele mirungi
Huyu ni mjinga aiseee.!!Mkuu twende taratibu, wewe hujui kuwa mtoto wa miaka 9 hajawa tayari kuingiliwa?
Waarabu wapo ligid sana! Kile mtume alikifanya miaka ya 570Ad huko ndiyo wanakipractise,Kwani hii si wamepitisha Magharibi au si wao ni Wazayuni? Maana hao ndo wana tabia za kishetani na hizo tabia za kubaka watoto itakuwa wameona wajipitishie.
Nataka nimsikilize kwa nini anaunga mkono ubakaji, labda ana sababu.Huyu ni mjinga aiseee.!!
Ni roho tu ya kishetani. Tabia za kishetani.Nataka nimsikilize kwa nini anaunga mkono ubakaji, labda ana sababu.
Atakuchosha huyo mfia dini huwezi kumbadilisha, anaiga aliyofanya mtume wao Muddy..!!Nataka nimsikilize kwa nini anaunga mkono ubakaji, labda ana sababu.
Acha utahira, tumia akili kidogoMtoto wa miaka 9 wa kiarabu sio sawa na mtoto wa nanjilinji uko ndani ndani😃😃
Mkuu mtoto wa 9 years anaweza kuwa na consent juu ya hatma yake?Kwani hio sheria ina sema ni lazima mtoto wa miaka 9 aolewe au
Maana ndoa ni jambo la makubaliano kati ya muowaji na muolewaji
Na kuna taratibu zake zakufwata
Acha Uzezeta na Umsukule. Ushetani huo na ujini mkubwa. Huwezi kuwa na ubinadamu kumtia mtoto wa miaka 10. Huoni aibu?Acha utahira, tumia akili kidogo
Saudia na Indonesia hio sheria ipo na watoto wa miaka 9 hawaolew mbonaWewe ujue mjinga etiii..!!!
Mirungi unafananisha na utu wa binadamu kweli??!!
Km una akili mbovu km hizi watoto wako wana baba wa hovyo..!! Nawaonea huruma wewe unaweza ukachukua mahari ukampa mtu binti yako wa miaka 9 😡
View attachment 3210378
===
Bunge la Iraq limepitisha sheria ya 'kutisha' kuruhusu watoto wa umri wa miaka tisa kuolewa, huku wanaharakati wakisema kuwa hatua hiyo itahalalisha ubakaji wa watoto.
Sheria hiyo mpya inazipa mahakama za Kiislamu mamlaka zaidi katika kushughulikia masuala ya kifamilia kama vile ndoa, talaka, na mirathi, huku ikiondoa sheria ya hapo awali inayokataza ndoa za watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1950.
Sheria hiyo imebainisha kuwa Waislamu wa Shia ambao ndio wengi zaidi nchini Iraq, umri wa chini zaidi wa kuolewa utakuwa miaka tisa, na wa Sunni, umri rasmi utakuwa miaka 15.
Pia, Soma:
• Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9
• Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa
"Iraqi law currently sets 18 as the minimum age of marriage in most cases. The changes passed Tuesday would let clerics rule according to their interpretation of Islamic law, which people are feared that, some may interpret to allow marriage of girls in their early teens – or as young as 9"
Under the new law, which was agreed yesterday, religious authorities have been given the power to decide on family affairs, including marriage, divorce and the care of children. It abolishes a previous ban on the marriage of children under the age of 18 in place since the 1950s.Kuna upotoshaji hapa kwa kuwa wanao shabikia wote ni mrengo mwingine
UNA ELEWA LUGHA YA MALKIA????
"Iraqi law currently sets 18 as the minimum age of marriage in most cases. The changes passed Tuesday would let clerics rule according to their interpretation of Islamic law, which people are feared that, some may interpret to allow marriage of girls in their early teens – or as young as 9"
Kwa nini watu watafsiri kwamba sheria imepitishwa kuoa miaka 9?
Mnachotakiwa ni kuuliza na si kuanza lawama Islam hajibu kwa vile anaelewa nini kinaendelaa hata ninyi msijitoe fahamu zamani watoto (bibi zetu) walikuwa wanaolewa.wadogo sana hata hapa hapa Tanzania. Ni kwamba yule mtoto anakwenda lelewa na wazazi wa mume hadi atakapofikia umri unaostahili kuolewa ndio anapewa mume wake na katapata huduma.zote Kama mtoto na kwamba katacheza na wenzake Kama kawaida, ila watajaribu kukaweka karibu na mhusika ili aweze kumzoea mf. jamaa akiwa anarudi nyumbani watamwambia akampokee ni ile kumuweka karibu hapo anakuwa amefanywa nini kibaya? Tena kanalala na.mama mkwe maana ni katoto au na wenzake na nyumbani kanakwenda ila hakalali huko na si mara kwa mara. Kabla hamjaamza.kashfa zenu na kuamzisha nyuzi za kurukana.viongozi wa dini ambazo sio zenu mngejaribu kuchunguza, pia ustaarabu.uchukue nafasi yake
Unatafuta nafuu gani katika mambo ya kipumbavu ? Wewe zimo kichwani kweliKati ya hiyo na wanaohalalisha mapenzi ya jinsia moja kipi kina nafuu?