Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

Mimi mjinga sawa
Ila nikupe mfano mwepesi
Kenya mirungi ni halali ila
Tanzania ni halamu
Ila Tanzania nayo ikibadili sheria na kusema mirungi ni halali
Haita maanisha kuwa wa Tanzania tunatakiwa tele mirungi
Wewe ujue mjinga etiii..!!!
Mirungi unafananisha na utu wa binadamu kweli??!!

Km una akili mbovu km hizi watoto wako wana baba wa hovyo..!! Nawaonea huruma wewe unaweza ukachukua mahari ukampa mtu binti yako wa miaka 9 😡
 
Huu uzi umewa expose ma pedophile ya humu kuna wengine wanavokuwa wanachangia mada ndo unajua ni wa hovyo kiasi gani.
 
Wewe ujue mjinga etiii..!!!
Mirungi unafananisha na utu wa binadamu kweli??!!

Km una akili mbovu km hizi watoto wako wana baba wa hovyo..!! Nawaonea huruma wewe unaweza ukachukua mahari ukampa mtu binti yako wa miaka 9 😡
Saudia na Indonesia hio sheria ipo na watoto wa miaka 9 hawaolew mbona
Ila ninacho kwamba ni kuwa sheria haija sema kuwa mtoto wa miaka 9 ni lazima aolewe

Kwa kuwa wewe ni mkristo umeshikilia Apo kuchafua waislam
Naishia apo
 
View attachment 3210378

===

Bunge la Iraq limepitisha sheria ya 'kutisha' kuruhusu watoto wa umri wa miaka tisa kuolewa, huku wanaharakati wakisema kuwa hatua hiyo itahalalisha ubakaji wa watoto.

Sheria hiyo mpya inazipa mahakama za Kiislamu mamlaka zaidi katika kushughulikia masuala ya kifamilia kama vile ndoa, talaka, na mirathi, huku ikiondoa sheria ya hapo awali inayokataza ndoa za watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1950.

Sheria hiyo imebainisha kuwa Waislamu wa Shia ambao ndio wengi zaidi nchini Iraq, umri wa chini zaidi wa kuolewa utakuwa miaka tisa, na wa Sunni, umri rasmi utakuwa miaka 15.

Pia, Soma:
Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9
Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa

Na kuna wanaume bila aibu wanaenda kuoa hivyo vitoto.

Na bila aibu kuna wajinga wanasema wanatekeleza matakwa ya dini.

Huo ni ubakaji. When I look at my 9 years daughter and see this shit, nawadharau sana waarabu
 
"Iraqi law currently sets 18 as the minimum age of marriage in most cases. The changes passed Tuesday would let clerics rule according to their interpretation of Islamic law, which people are feared that, some may interpret to allow marriage of girls in their early teens – or as young as 9"
Kuna upotoshaji hapa kwa kuwa wanao shabikia wote ni mrengo mwingine

UNA ELEWA LUGHA YA MALKIA????

"Iraqi law currently sets 18 as the minimum age of marriage in most cases. The changes passed Tuesday would let clerics rule according to their interpretation of Islamic law, which people are feared that, some may interpret to allow marriage of girls in their early teens – or as young as 9"

Kwa nini watu watafsiri kwamba sheria imepitishwa kuoa miaka 9?
Under the new law, which was agreed yesterday, religious authorities have been given the power to decide on family affairs, including marriage, divorce and the care of children. It abolishes a previous ban on the marriage of children under the age of 18 in place since the 1950s.

Sikia, The issue of girls as young as nine being married is a real and documented problem, both historically and in modern times. This practice goes against decency and must be addressed to protect the innocence of young girls.
 
Kwanini mpoteze muda wote huo,kwanini asiachwe akae na wazazi wake mpaka atakapotimia kuweza kuolewa na kushika majukumu kama mke.

Nacho kiona hapa ni nothing but upedophile washenzi wakubwa ninyi..zaa binti yako halafu umafanyie huo upuuzi. Shenzi kabisa a lidini leni ya kishentani.
 
Mnachotakiwa ni kuuliza na si kuanza lawama Islam hajibu kwa vile anaelewa nini kinaendelaa hata ninyi msijitoe fahamu zamani watoto (bibi zetu) walikuwa wanaolewa.wadogo sana hata hapa hapa Tanzania. Ni kwamba yule mtoto anakwenda lelewa na wazazi wa mume hadi atakapofikia umri unaostahili kuolewa ndio anapewa mume wake na katapata huduma.zote Kama mtoto na kwamba katacheza na wenzake Kama kawaida, ila watajaribu kukaweka karibu na mhusika ili aweze kumzoea mf. jamaa akiwa anarudi nyumbani watamwambia akampokee ni ile kumuweka karibu hapo anakuwa amefanywa nini kibaya? Tena kanalala na.mama mkwe maana ni katoto au na wenzake na nyumbani kanakwenda ila hakalali huko na si mara kwa mara. Kabla hamjaamza.kashfa zenu na kuamzisha nyuzi za kurukana.viongozi wa dini ambazo sio zenu mngejaribu kuchunguza, pia ustaarabu.uchukue nafasi yake

Hapo Ameolewa kwa kuridhika au ndo anakuwa kalazimishwa(katika kipindi hajitambui kabisa)

Miaka tisa kwa Tanzania ni mtoto yuko darasa la 4 kama alianza la darasa la kwanza kwa miaka 6. Ila kama alianza kwa miaka 7 basi atakuwa yuko la darasa la tatu.
Sasa leo pita shule ya msingi omba kuwatizama hao watoto wa darasa la tatu au la nne ki maumbo tuu na akili zao alafu tizaman ni halali huyo mtoto kutolewa mahari au laa.

Hata kama sisi tulifanya huo ujinga zamani ila ndo tumestarabika sio mambo yakufanya tena.

Hata kama umfuasi wa dini Hii elewa sio kila kitu utakichukua. Vingine lazima ukubali hapa Dini au wahusika wa dini wamekosea.

Ndo maana napinga haya mambo ya dini sana. Waislam Mnajitahidi sana kwenye ubinadam(kusaidia wagonjwa, maskini)Ila hili LINA MAKOSA MAKUBWA SANA.
 
IMG_6423.jpeg
 
Back
Top Bottom