Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wewe ujue mjinga etiii..!!!Mimi mjinga sawa
Ila nikupe mfano mwepesi
Kenya mirungi ni halali ila
Tanzania ni halamu
Ila Tanzania nayo ikibadili sheria na kusema mirungi ni halali
Haita maanisha kuwa wa Tanzania tunatakiwa tele mirungi
Mirungi unafananisha na utu wa binadamu kweli??!!
Km una akili mbovu km hizi watoto wako wana baba wa hovyo..!! Nawaonea huruma wewe unaweza ukachukua mahari ukampa mtu binti yako wa miaka 9 😡